Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Hongera Mbasha kwa kupata bond. Mpe talaka huyo Flora

Kumpa talaka kwa sasa haitakuwa jambo sahihi!! Ingawa kimsingi ni kama vile ndoa haipo tena, ila vitu kadhaa vilovyonyuma ya pazia ambapo vitasaidia katika hii kesi na kumtungua mzee wa hummer, na ili vifanikiwe tunahitaji hii ‘ndoa' iendelee kuwepo!!! Hata wao wanafahamu hilo ndio maana wanaleta kadhia yote hii ili florah apewe talaka.!!
 
frola alijua kuwa mmewe ataachiwa kwa dhamana ndo maana akajidai kavamiwa home ili aondoke home jamaa akifika asimkute na watu wakihoji kwanini hayuko home aseme nilivamiwa pale sio sehemu salama kwangu
Nilikuwa Nina mawazo kama yako
 
Kumpa talaka kwa sasa haitakuwa jambo sahihi!! Ingawa kimsingi ni kama vile ndoa haipo tena, ila vitu kadhaa vilovyonyuma ya pazia ambapo vitasaidia katika hii kesi na kumtungua mzee wa hummer, na ili vifanikiwe tunahitaji hii ‘ndoa' iendelee kuwepo!!! Hata wao wanafahamu hilo ndio maana wanaleta kadhia yote hii ili florah apewe talaka.!!
kama mbasha hakuzini na huyo binti kesi imetoka wapi mkuu? acheni kuwa upande mmoja tu.
 
Kiukweli bila kuhukumiana maana wengi tu wadhambi,wazinzi wa kila namna n.k....mwana ndoa kumfanyia hizi mzazi mwenzio uliyelala nae kitanda kimoja kwa miaka zaidi ya 10....uliyeshiriki nae shida na raha zote....alafu ukaamua kubariki hatua kama hizi kwa mke/mmeo hata kama si wewe moja kwa moja....lazima uwe na roho ya aina yake.......


Nimeangalia picha za jamaa pale mahakamani inatia huruma sana.....sijui Flora anajisikiaje!! What ever the mistake done......wana ndoa wanazo namna ya kumaliza tofauti zao na hekima na mapenzi ya kweli Flora alipaswa kusimama kizimbani na mme wake........ndio ndoa....ndio kufa na kuzikana......ndio kuvumiliana....nyie ni mwili mmoja....ndio maana mnakaa uchi kila mmoja akimjua mwenzake na kusitiriana.....ndio maana zipu ya baba ikisahaulika kufungwa mke anakimbilia kumsitiri mume.........hakuna namna ya Flora kujitetea kwa namna alivyoshughulikia swala la mume wake na kumuanika kwenye vyombo vya habari.......Flora unajua mama na baba yako wamefichiana mangapi? vipi baba yako angeishia jela kupitia mikono ya mama yako kwa issues kama hizi?


Kwanini zimekosekana kabisa hekima kumaliza hili.....sawa wengine mtamuita Gwajima majina yote lakini ni mtumishi wa Mungu na hawa ni kondoo wake tena wakaribu sana....kwanini haikutumika hekima kuhoji na kusuluhisha ikibidi hata kwa kutumia wachungaji ambao Emma anaweza kuwa na imani nao?

kama yupo na anasoma haya atajiongeza
 
Kuzini sio kosa kisheria, rekebisha

hauwezi kupewa kesi ya kubaka kama ushahidi haupo mkuu. mue mbasha alimkosea pia mke wake kwa kuzini tena na mdogo wake. kuzini kumeleta hiyo mnaoita kubakwa.
 
Hivi flora ni mlokole wa dhehebu gani? Mana kma ni kwa mzee wa misukule ni sawa anaroho ngumu na mbaya.kma hamtaki mbasha c mnaacha 2 na maisha yanaendelea,kumfunga ndio ameona ila kila ki2 kitakua wazi mda c mrefu cjui ataficha aibu wapi huyu mama huruma

hana dhehebu maalum yeye sehemu yoyote anapoitwa kupiga sebene anapiga.
 
ONYO: Aisee nifanye chochote utakacho, LAKINI KUNIGUSIA MKE WANGU AISEE patashimbika - uwe billionea au fukara kama mimi yaani cha moto lazima ukione, nikikushindwa kwa nguvu za NURU basi lazima tumalizane kwenye nguvu za GIZA. Lazima nikushushe shipa aisee!! hata kama ni nabii shipa lazima lishuke tu!!
 
The bold pole sana kwa kuwekwa rumande. Hivi waliokuwekea dhamana ni nani na nani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom