Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Mkewe anataka kumwangamiza tu bure, Flora hufai;

Wanawake tukiachana na wanaume huwa
hatuwatafutii visa; ni kuondoka tu na maisha yanaendelea kama kawaida.

Flora anamtesa tu mtoto wa mwanamke mwenzetu kwa ajili
ya uasherati wake.
Ujumbe wako unabusara sana.!
 
Hivi flora ni mlokole wa dhehebu gani? Mana kma ni kwa mzee wa misukule ni sawa anaroho ngumu na mbaya.kma hamtaki mbasha c mnaacha 2 na maisha yanaendelea,kumfunga ndio ameona ila kila ki2 kitakua wazi mda c mrefu cjui ataficha aibu wapi huyu mama huruma
 
Tatizo ni kumuacha na Mali angekua awajavuna kitu angemtema bila madhara
 
Hivi flora ni mlokole wa dhehebu gani? Mana kma ni kwa mzee wa misukule ni sawa anaroho ngumu na mbaya.kma hamtaki mbasha c mnaacha 2 na maisha yanaendelea,kumfunga ndio ameona ila kila ki2 kitakua wazi mda c mrefu cjui ataficha aibu wapi huyu mama huruma

Flora Mbasha ni msukule ambao bado haujakatwa ulimi, Hana kabisa roho ya utu
 
Utabambikwa kesi, wee omba mabadiliko.

Sasa hivi mwanamke akikuchoka tu, anakubambika kesi

Dawa ya hii maneno ni kupitisha sheria kama ile ya Kenya..mwanamke akikuzengua unavuta kitu kipya fasta tena bila kushauriana na mtu!!?
 
Kesi ya kubaka, ufisadi (money laundering) na ujambazi wa kutumia silaha havina dhamana sawa na kuua kwa kukusudia. Chenge hakugonga makusudi, na ditopile alibadilishiwa kesi ikawa ya kuua bila kukusudia
Jiulize:
Chenge alipogonga na kuua
Ditopile alipoua kwa pisto
Wengine jazia
 
Life is an interesting journey. you never know where it'll take you.
peaks and valleys, twists and turns. you could get the surprise of your life.
.. sometimes, on the way to where your going; you might think 'this is the worst time of my life'..
but you know what?..
at the end of the road through all the adversity you could get to where you wanted to be,
you remember whatever don't kill you makes you stronger and all the adversity was worth it.
 
Makanisa ya kilokole yana waumini wa kila aina mateja machangu na mkude
 
aliyemshitaki mbasha siyo flora ni huyo mdogo mtu
 
well well well..... naona na Conrad aliyeua mtu usiku kwa kujinafasi kwenye bar huko, naye yuko nje kwa dhamana miezi 5 sasa, maybe wakamilishe kwanza hii kesi ya Conrad, haiingii akilini huyu murderer kuendelea kuwepo mitaani kasha wezi wa kuku wako segerea, hiyo familia ya akina Mlay inabidi ifanye jitihada za makusudi kumsweka tena ndani huyu muuaji

Mkuu umenikumbusha kifo cha Ayubu ...duh kama ameachiwa basi kuna tatizo kwenye sheria zetu
 
mungu atawahukumu wote wanaohukumu wasio na hatia emma kaka kama kweli hujafanya mwombe sana mungu haya majaribu utayashinda
 
aliyemshitaki
mbasha siyo flora ni huyo mdogo mtu

hata kama siyo flora still alikua na nafasi ya kuzuia maneno yasifike
mbali ila kwa kuwa ana roho mbaya akaamua kumuacha mzazi mwenzake
afungwe sijui atapata faida gani huyo mwanamke. kweli nimeamini chuki ya mwanamke ni zaidi ya nyoka mwenye sumu.
 
Inasikitisha sana. Ndoa imevunjika vibaya sana hii. Ni kidonda kwa wanandoa na binti yao.
 
I have a dream. I can see Mr. Mbasha is being set free and being married to a very nice upcoming singer. They are being blessed and provided by Jehovah the maximum wealth in this world! In other hand,i can see FM,deterioted,very poor,wicked and doomed, roasting cassava somewhere near Buguruni Rozana. Just my dream!
 
well well well..... naona na Conrad aliyeua mtu usiku kwa kujinafasi kwenye bar huko, naye yuko nje kwa dhamana miezi 5 sasa, maybe wakamilishe kwanza hii kesi ya Conrad, haiingii akilini huyu murderer kuendelea kuwepo mitaani kasha wezi wa kuku wako segerea, hiyo familia ya akina Mlay inabidi ifanye jitihada za makusudi kumsweka tena ndani huyu muuaji

Nchi hii ukiwa na mkwanja unatawala vyombo vya dola...
 
Nilishangaa kuona na housegirl eti nae kaingia kwenye kesi. Sasa hivi mkeo akichukuliwa na kukuacha na housegirl na mdogo wake wewe ukale wapi na kitu kimesimama usiku, unakituliza kwa neno bado kimesimama tu? Ukizingatia kuokoka kunamfanya asionekane kwenye viunga vya dada pooozi

hahahaaa! eti unakituliza kwa neno...loled!

mbasha.jpg


mbasha.jpg

9k=
 
Back
Top Bottom