Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Huyo Flora ameshakuwa halali kwa walimwengu sasa, maana hata huko aliko jisetiri watamfukuza muda si mrefu.
Si kesi inaenda mahakamani?
Stori ndo kwanzan inaaza, alikuwa wapi wakati mwenziwe anadaiwa kubaka.
Check it out-attention ya stori hii lazima itahamia kwa Flora.
Laiti wanandoa hawa wasingekuwa maarufu kama walivyo, na cha zaidi kabisa wasingekuwa na mtoto!
Kama wengi tunavyojua ndoa inaitwa 'PINGU ZA MAISHA' na wala hakuna kulelax kwenye ndoa, inakupasa kuumia kwa ajili au niaba ya mwenzi wako. Na kwa vile ni kupitia milima na mabonde basi inapasa kuangalia kama kuna kipindi mliwahi kupendana basi mchukulie huo wakati kama mfano wa nyakati za matatizo.
Kwa kifupi wanandoa hawa wangelishtuka mapema wangeliweza kuyaweka sawa mambo yao lakini sasa yameshavuja na atakayeteseka zaidi maishani mwake na hata wajukuu (historical torture) ni mtoto aliyetokana na hii ndoa!

 
Laiti wanandoa hawa wasingekuwa maarufu kama walivyo, na cha zaidi kabisa wasingekuwa na mtoto!
Kama wengi tunavyojua ndoa inaitwa 'PINGU ZA MAISHA' na wala hakuna kulelax kwenye ndoa, inakupasa kuumia kwa ajili au niaba ya mwenzi wako. Na kwa vile ni kupitia milima na mabonde basi inapasa kuangalia kama kuna kipindi mliwahi kupendana basi mchukulie huo wakati kama mfano wa nyakati za matatizo.
Kwa kifupi wanandoa hawa wangelishtuka mapema wangeliweza kuyaweka sawa mambo yao lakini sasa yameshavuja na atakayeteseka zaidi maishani mwake na hata wajukuu (historical torture) ni mtoto aliyetokana na hii ndoa!


Hakuna anayeweza kubeba maumivu ya mtoto ambaye ni matokeo ya ndoa hii......inasikitisha sana...
 
Bullshit kesi ya kubaka ina Dhamana?

Hata mie nashangaa hapo hamna kesi,hata huyo binti huenda alienda polisi baada ya kujisafisha,DNA ndio msema kweli!!??

HAPO HAMNA KESY FROLA ITAKUWA AIBU YA TANO!!!!????????????
 
ONYO: Aisee nifanye chochote utakacho, LAKINI KUNIGUSIA MKE WANGU AISEE patashimbika - uwe billionea au fukara kama mimi yaani cha moto lazima ukione, nikikushindwa kwa nguvu za NURU basi lazima tumalizane kwenye nguvu za GIZA. Lazima nikushushe shipa aisee!! hata kama ni nabii shipa lazima lishuke tu!!

Mkuu umeoa li Furora nini?
 
Sidhani kama The Bold ndiye Mbasha. Mtiririko wa kuandika wa Emmanuel Mbasha naujua. Yaani jamaa ni kama hajaenda shule. Hana ubavu wa kutiririka mistari na kuipangilia kama alivyofanya The bold. Kuna siku niliwasiliana naye kwa sms nikitaka waje kutumbuiza kwenye harusi fulani hivi. Namna alivyokuwa anajibu, kwa kweli nilishangaa sana. Hata r kwake yeye ni l.

Na u handsome wote ule????
 
Hizi kesi za kipuuzi, mtu atabakwaje mara tatu? demu mwenyewe mbona anafahamika kapigwa saaaaaaaaaaaana kitaa. Nenda pale Tabata Kimanga karibu na Freeland Bar utapata habari za demu huyo. Vyombo vya dola navyo visiwe cha kuambiwa, wachanganye na za kwao!!! Ni upuuzi Gia iliyotumika na Akina Frola na ndugu zake itawatokea puani, very pumbavuuuuu
 
kuna mtu aliuliza swali zuri...hivi mtu anabakwaje kwenye gari? kupiga show kwenye gari hata kama hubaki inahitaji ubunifu na medium acrobatic skills kutoka kwa demu....sasa dogo yake flora inadai mara ya pili alibakwa ndani ya gari!!!!
 
Kumbe ukizini na mtu tu, ushambaka?
Asprin, una makesi ya kujibu
namaanisha hakuna kesi ya kubana bila kuzini.
ili kuonyesha umebaka lazima sperm zionekane kwa uliyembaka, na mwanamke aonekane kaingiliwa.
 
'Tough times never last but tough people do'..Robert H.Schuller. Karibu uraiani Emma,Mungu akutie nguvu,yana mwisho haya.Kwa yaliyokupata nachoma CD zote za mkeo Flora,nisamehe kwa hili kwani mliimba wote!
 
namaanisha hakuna kesi ya kubana bila kuzini.
ili kuonyesha umebaka lazima sperm zionekane kwa uliyembaka, na mwanamke aonekane kaingiliwa.
Makosa ya ubakaji ni pamoja na Kushurutisha kudoo, kumshika makalio au nyonyo bila idhini, nk...........hata kama ni Mkeo/Mumeo........
 
Hv nyinyii, mnamsema flora mbasha yeye kakosea nn hapo?? Anaebaka Tz hii akpatkana na hatia anafanyaje?? Halafu et mnasema haki itapatkana kwa kusex na mtotot under 15!!!! Maana 18 kubwa
 
USITUMIE UTI WA MGONGO KUFIKIRI.......kwani Flora ungemshauri mdogo wake asishitaki angekataa................?

Bora huyu anatumia uti wa mgongo kuliko wewe unatumia makalio kufikiri! Shame on you mbakaji!
Mtu abakwe halafu akae kimya! Zaa binti yako halafu abakwe na houseboy ukae kimya! Shame on you!
 
kuna mtu aliuliza swali zuri...hivi mtu anabakwaje kwenye gari? kupiga show kwenye gari hata kama hubaki inahitaji ubunifu na medium acrobatic skills kutoka kwa demu....sasa dogo yake flora inadai mara ya pili alibakwa ndani ya gari!!!!

Tatizo ni umri! Angekuwa 18 maswali haya yangekuwa sahihi kabisa!
Lakini kufanya mapenzi na binti/ mvulana chini ya miaka 18 ni kosa hata kama yeye muhusika ameridhia au amekulazimisha au amekushawishi!
Sheria inasema huyu bado ni mtoto na akili yake haijakomaa kufanya maamuzi sahihi!
 
Back
Top Bottom