Kwanza siyo mkurugenzi wa X bali ni Linda Yaccarino. Pili Elon kanunua mtandao wa X kwa ajili ya ku feed data katika kampuni ya XAI.
Elon Musk, mwenye maono nyuma ya makampuni kama Tesla na SpaceX, tena ameweka macho yake kwenye uwanja wa akili bandia (AI). Mradi wake wa hivi karibuni, xAI, una lengo la kuongeza hazina kubwa ya tweets ili kufundisha algorithm yake. Katika mazungumzo ya hivi karibuni ya sauti ya Twitter Spaces, Musk alishiriki maono yake ya kujenga AI ya uchunguzi na ya kweli, akiibua maswali kuhusu faragha ya data na changamoto za kisheria.
Kwa hiyo hayo masuala ya hajui yeye hayamhusu anacho focus nacho kwa sasa ni kuhakikisha XAI inafanikiwa kama SpaceX na Tesla motor.
Na anaenda kuifanya mtandao wa X kuwa mtandao bora kabisa.. Kwa takwimu mwezi huu wameweza ku record watumiaji million 500+ kwa mwezi ni rexord ya juu kabisa ya watumiaji toka kuanzishwa kwake.
Saiv content creators wanalipwa.
Na sasa mtandao wa X unaenda kuwa kama WeChat ambapo services zote za kifedha zinapatikana ndani ya mtandao mmoja.