Eliza na Ex-Boyfriend wake

Kwa hiyo mume akilega unamkaza kwa kuchat na ex?

Hapo ndipo wanawake mnapokosea....kosa likifanyika usilimalize kwa hasira utasababisha madhara ambayo utakuja kushindwa kuyatatua maisha yako yote.
Teh teh teh!! Huwa mna ushauri mzuri kweli when it comes to women. Sijui hizi akili huwa mnaziazima wapi inapotokea jambo linamuhusu mwanamke[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
 
Teh teh teh!! Huwa mna ushauri mzuri kweli when it comes to women. Sijui hizi akili huwa mnaziazima wapi inapotokea jambo linamuhusu mwanamke[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Huwa nakuwa sipo...weka basi nishauri kuhusu mwanamke.
 
Kuna wanaume wakali nyie huo muda wa kuchat nae ivo sawa unaweza kuupata ila mpk mnaonana na kufanya aiseee kwanza kuuga iyo safar mpk aikubalie umshawishi kua naenda mwenyew usinipeleke cjui[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio Maana kila Nilifikiria kuoa Nasikia sauti ya malaika wanasema Acha kuwaza upumbavu Utakufa mapema... Haah


😆😆😆😆😆😆😆😆Mkuu umetisha
 
Maex wangu wote hakuna ambae anachomoa nikimtaka hata awe kaolewa na nani. Wengine huniambia madhaifu ya wanaume zao na kujilaumu kwa nini hawajaolewa na mimi. huwa nacheka tu
Hata mimi ni hvyo hvyo mkuu,ndo maana nikifkria kuoa aiseee napata tabu sanaa ,nipate mwanamke wa kumcontrol yeye.
Kuna kama watatu hv ma Ex zangu wameolewa na ndoa kabsaa lakn hunipa na kuniambia kila kitu kuhusu waume zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hatari sana mkuu
Hatari fire sanaa mkuu,yani hadi aibu kuna mmoja ndo niliamua kurecord maongezi yangu na yeys akinielezea kuhusu mume wake hamsugui vzuri yani nouuma nakaa naskliza yale maongezi yangu na yy nlio rekodi naishia kuhuzunika na kucheka pia najisemea hiiiiiiiiiiiiiii kumbe walioa ndo wanamajanga hv kuna mmoja tena naye hvyo hvyo,,kwakweli mlioko kwenye Ndoa mnakufa mapema sanaa kuliko wanawake zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlioko kwenye ndoa jamani natamani niiweke maongezi yangu na Ex wangu mmoja hv kaolewa na Engineer wa ............... Na ana hela sanaa lakn mke wake anavyoniambia kila kitu kuhusu yeye utafkr mimi ndo ndugu yake na mambo mengne ya Ndani kabsaaa na anasema bwana ake ana mb..... Ndogo hamfkshi n.k mambo mengiii mnoooo ,,yani hapo ndo umeoa huyo mwanamke na Expose mambo mengne nje ambayo wewe hutafkr kama atayasema nje lakn anayasema aloooo hawa viumbe si mchezooo.
Ndo maana siku zote nawaambia,WANAWAKE TUISHI NAO KWA AKILI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe huyo unaishi naye kwa akili?
 
Ex: njoo room namba 10
Mlango unagongwa, Ex kafungua kakutana na njemba sita.
Mume mtu: kijana mbona mbichi kabisa unanigongea mke? Haya ndo tumefika tukupe adhabu gani?
EX(kwa sauti ya kutetemeka) : Nyie tu.
 
Mimi nina ex.anakuja kwa kasi ya 5G naona siku mbili hizi ntamlima block ya nguvu...
Sirudiagi makombo mm
 
Ex: njoo room namba 10
Mlango unagongwa, Ex kafungua kakutana na njemba sita.
Mume mtu: kijana mbona mbichi kabisa unanigongea mke? Haya ndo tumefika tukupe adhabu gani?
EX(kwa sauti ya kutetemeka) : Nyie tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu kwa sauti, Ila nmewaza mbali lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule FB ulipocopy na ukapaste hapa umewapa taarifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…