Eliza na Ex-Boyfriend wake

Wake za watu wanagongwa kilaini sana siku hiz, wala sio lazima wakutane na ma ex wao, ukiwa na gari, tena nyumba ya kupanga, unagonga tu,
Tena mama wa nyumbani ukimsifia, umegonga,
Huku ninapoishi, wake za watu, wanashinda na kanga moja, njemba zao, kazi za kubangaiza, kila nikirudi, wanashangaa huyu jamaa,mwaka sasa, hatuoni demu akiingia gheto, wanatamani, wamezao wangekuwa kama Mimi, u

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uko sahihi mkuu inategemea na mwanamke..! ila hapo mwisho ulipo malizia kidizain kama ume paste life nlopitiaa..
 
"uaminifu haupo na hofu ya Mungu"...!! hapa nmepaelewa
 
EX-salama mambo
SALAMA-poa tu nani
EX-aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.
SALAMA-hayo hayakuhusu sema we nani.
EX-mi kibonde
SALAMA-jamn mzima wewe za siku
EX-nzur tu nimekumiss.
Salama-we si uliniacha bwana...
EX-hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.
SALAMA-ndio hivyo ningefanyaje sasa
EX-bado unaishi kwenye moyo wangu.
SALAMA-mmh asante
EX-Niko tanga kwenu.
SALAMA-mmh kweli umefikia wapi.
EX-lodge tu nimekuja kwenye seminar mara moja ..lodge flan huku chuda
SALAMA-haya bhna karibu kwetu.
EX-mmh namuogopa mumeo
SALAMA-hofu yako tu
EX-njoo hata unisalimie jamani.nimekumiss sana.
SALAMA-mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.
EX-Niamini bado nakupenda naomba uje.
SALAMA-mmh kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...
EX-poa saa ngap.
SALAMA -Anaenda kazini asubh xo mi ntatoka saa nne.
EX-poa ntakuambia chumba nilichopo.
SALAMA-wee siingii lodge mimi..mi mke wa mtu usijisahaulishe
EX-please sitakufanya chochote ..siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.
SALAMA-wee ndio munasemaga hivyo hivyo
EX-please siwez niamini
SALAMA-sawa lakini sitakaa sana....story tu sitaki mambo mengine.
EX-poa usijar mamy.
SALAMA-sawa .

Hivi ndivyo ma ex wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.....ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX labda kwa mwanamke matuared!!!......fuatiliaa hii

BAADA YA KUONANA HIYO KESHO

SALAMA-ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex..sijapenda kiukweli
EX-Nisamehe wangu..nilishindwa si unajua tuliko toka..asante nimeenjoy sana
SALAMA-sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje
EX-HAawez jua atajuaje sasa!!
SALAMA-jua hivyo tu....usitume text amekuja...
EX-poa usiku mwema.

BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA

Salama-nambie
EX-poa kaondoka
SALAMA-ndio ila akija ntakuambia.
Ex-poa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.
SALAMA-ntaangalia asipokuwepo.
EX-mmh xo akiwepo
SALAMA-mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu ntakuja ila sitakaa
EX-sawa..nakupenda sana
SALAMA-nakupenda pia ila usirudie kuniumiza.
EX-sitaweza dear!!!

*Hivyo ndivyo mwanamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!!kumbukumbu zikirudishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue!!...., dada heshimu ndoa yako!!huyo ex angekuwa anakupenda sana angekuoa basi, !!anarudi sababu umeolewa anajua hutamsumbua atakuwa mpigaji tu na hakuna mapenzi hapo...!!!!na wewe mwanaume anayetembea na mke wa mtu kisa ex wako ..fikiria tu mkeo ww ndio anakufanyia hivyo!!maumivu utayoyapta ndio atayopitia mume wa ex wako akijua!!what goes around comes arounds unayomfanyia mke wa mwenzio hata mkeo anafanyiwa hivyo hivyo sema hujui tu!!hakuna ubaya
 
Nikionaga huu unyumbu kichwa ndo kinapataga, Moto nikiwazaga kuoa.πŸ˜ͺ
 
Kuna people umezipa madini wazi wazi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini ukioa mwanamke mwenye akili na matured hawezi kuyumbishwa na ex Ila ukioa mwanamke ambaye hajui ndoa ni nn lazma akapashe kiporo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna kitu kama hicho ,mwanamke ni mwanamke tu hata iweje,,mimi niliwahi kutoka na EX wangu mmoja hv ana akili na kasoma balaa na ukimwangalia hv huwez kudhani kuwa atakua anasaliti ndoa yake lakn akija kwangu ni mwendo wa kupiga machine tu,

Kinachotakiwa ni mwanamme uliyeoa kuwa jasiri wa kila kitu kuzuia mwanamke kutoka nje kumbuka kua MA EX WANANGUVU SANAAA KULIKO KITU CHOCHOTE NA SHETANI NDIPO ANAPOINGILIA HAPO KUHARIBU NDOA ZA WATU NA KUMTEKA MWANAMKE.

NIMEONA MENGI SANAA KATIKA NDOA ZA WATU NA NITAENDELEA KUONA MENGI KWENYE NDOA ZA WATU MI SIPO KUOA KWASASA BADO MDOGO SANAAAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…