Elimu ya juu sio lazima kwa watanzania serikali yathibitisha

Tafadhali nipatie chanzo cha hari yiyo ili niweze kuchangia.......

Ninavyofahamu mimi, lengo la kwanza kabisa la vyuo vya elimu ya juu hapa nchini ni kutoa wataalamu mbalimbali kwa ajili ya ujenzi wa taifa kwani si kila mtanzania anaweza kumudu kusoma vyuo vya gharama ya juu nje ya nchi. Suala linalobaki sasa ni jinsi elimu hiyo inavyotolewa na vyuo hivi nchini: Aidha kama ni bure au kwa watanzania kuchangia.

Tafadhali naomba chanzo cha habari hii. Kama NW-Elimu ametoa kauli hiyo, basi inatia shaka kwa uwezo wa baadhi ya viongozi hapa nchini.

Nadhani lengo la kwanza lisiwe ni kutoa wataalamu mbalimbali kwani wataalamu wanaweza kupatikana bila kuelimika.

Lengo la vyuo vikuu libakie ni kutoa elimu. Na baadaye walioelimika wachague kuwa wataalamu.
icon10.gif
 
Fundi Mchundo, heshima zako mkuu, niliuliza hilo swali. Wenzangu, Mtanzania na Sikonge wamejibu, na ningejibu kama walivyojibu wao. Jibu lako halikuwa sahihi kwa sababu hakuna elimu ya juu BURE duniani. You dismissed high taxation as a way of paying for that higher education, but you are wrong. Unafikiri kutozwa kodi ya juu for your entire life ni mchezo? How many percent of Tanzanians pay taxes legally? Ni sisi wajinga wachache ambao ni about 10% of the population if not less. I am tired of the fact that 80% of the population want a free lunch with OUR TAXES!!!!I am sorry, very sorry but we have worked hard and continue to work hard and do not even see profit of our companies! We have families that derive their living from our companies, and we contribute more than we should in taxes. And then we have people lining up saying that higher education is a right! No way! It is a priviledge! We want our taxes reduced so our children can live comfortably.
I am not a socialist and never was! I would reform loan system in banks etc, if you are poor and you want to study in university or college,take a loan and spend your life paying it back. It is time to free up the potential of this country instead of tying us down with taxes and utopian plans of freebies for everyone!
Sorry for the outburst, but I am tired of watanzania kudanganyana eti free higher learning is a right!
FYI Eddy huko Philippines mi napaelewa vizuri nina family connection, and higher learning is not for FREE!! Kuna wanafunzi wengi vyuoni na hii inatokana na wazazi kuwa tayari ku-sacrifice watoto wao wasome! let's get our facts right!


I smell sentiments of a very selfishperson. Your taxes my ... Siyo kwa sababu wew unafanya kazi ndio udhani wewe pekee unalipa kodi kwa sababu tu unakatwa kutoka kwenye mshahara. Kama huafahamu kila mtanzania analipa kodi. Sijui unafahamu kitu kinaitwa VAT. KUpitia hiyo kila mtu hata bibi yako analipa akinunua chumvi, kiberiti, diseli (ambayo anatumia kama mafuta ya taa kwa ababu hawezi kuafford mafuta ya taa) na hata akitaka kununua sindano ya uunganishia kanga yake iliyochakaa analipia kodi. Sasa wewe haya madai ya kuwa wtz hawalipi kodi unayatoa wapi?
Nikupe mfano mwingine; mifugo ng'ombe, mbuzi, kondoo sina hakika kuhusu punda yote inalipiwa kodi kwa mamia kwa kila kichwa. Msihalalishe ufisadi wenu kwa kudai wtz hawalipi kodi, wanalipa sana ila mnazifisadi na ndio maana hamtaki watanzania wasome kwa sababu manajua siku ujinga ukiwatoka mtawaeleza kodi zao mlipeleka wapi.
Wote mnaoshabikia hili swala mnakimbilia kwenye kusema eti elimu ya bure kwani nani amesema anataka elimu ya bure. Nchi zilizoendelea ni watu wachache sana wanaojisomesha kwa pesa yao zaidi ni mikopo (loans)
na financial aids. Serikali lazima iwe mdhamini wa watu wanaotaka kusoma maana hakuna benki inayotaka kumpa mkulima mkopo bila dhamama. Wote mnaochangia hapa ninaamini mna walau shahada ya kwanza na zaidi ni ajabu iliyoje watu mliosoma ( na wengi wenu mmesoma bure mkipewa nauli na pesa yakununulia chupi) leo hii muanze kudai eti elimu ya juu si lazima. This is pathetic.
 
TRA hukusanya tu chini ya 30% hii inajulikana...jamani these are facts!

Sasa nini hakieleweki?

Kama TRA wakiweza kukusanya hata 80% basi hata elimu bure hadi Chuo Kikuu inawezekana!
 
I smell sentiments of a very selfishperson. Your taxes my ... Siyo kwa sababu wew unafanya kazi ndio udhani wewe pekee unalipa kodi kwa sababu tu unakatwa kutoka kwenye mshahara. Kama huafahamu kila mtanzania analipa kodi. Sijui unafahamu kitu kinaitwa VAT. KUpitia hiyo kila mtu hata bibi yako analipa akinunua chumvi, kiberiti, diseli (ambayo anatumia kama mafuta ya taa kwa ababu hawezi kuafford mafuta ya taa) na hata akitaka kununua sindano ya uunganishia kanga yake iliyochakaa analipia kodi. Sasa wewe haya madai ya kuwa wtz hawalipi kodi unayatoa wapi?
Nikupe mfano mwingine; mifugo ng'ombe, mbuzi, kondoo sina hakika kuhusu punda yote inalipiwa kodi kwa mamia kwa kila kichwa. Msihalalishe ufisadi wenu kwa kudai wtz hawalipi kodi, wanalipa sana ila mnazifisadi na ndio maana hamtaki watanzania wasome kwa sababu manajua siku ujinga ukiwatoka mtawaeleza kodi zao mlipeleka wapi.
Wote mnaoshabikia hili swala mnakimbilia kwenye kusema eti elimu ya bure kwani nani amesema anataka elimu ya bure. Nchi zilizoendelea ni watu wachache sana wanaojisomesha kwa pesa yao zaidi ni mikopo (loans)
na financial aids. Serikali lazima iwe mdhamini wa watu wanaotaka kusoma maana hakuna benki inayotaka kumpa mkulima mkopo bila dhamama. Wote mnaochangia hapa ninaamini mna walau shahada ya kwanza na zaidi ni ajabu iliyoje watu mliosoma ( na wengi wenu mmesoma bure mkipewa nauli na pesa yakununulia chupi) leo hii muanze kudai eti elimu ya juu si lazima. This is pathetic.

Karibu ukumbini Kapteni..Maelezo mazuri kwa upande unaoutetea, ila sidhani kama susuviri ni fisadi, Susuviri ni muungwana tu tuko naye hapa mida tu.Ila nimezimia analysis minus susuviri kuwa fisadi.
Once again karibu.
 
Fundi Mchundo, heshima zako mkuu, niliuliza hilo swali. Wenzangu, Mtanzania na Sikonge wamejibu, na ningejibu kama walivyojibu wao. Jibu lako halikuwa sahihi kwa sababu hakuna elimu ya juu BURE duniani. You dismissed high taxation as a way of paying for that higher education, but you are wrong. Unafikiri kutozwa kodi ya juu for your entire life ni mchezo? How many percent of Tanzanians pay taxes legally? Ni sisi wajinga wachache ambao ni about 10% of the population if not less. I am tired of the fact that 80% of the population want a free lunch with OUR TAXES!!!! I am sorry, very sorry but we have worked hard and continue to work hard and do not even see profit of our companies! We have families that derive their living from our companies, and we contribute more than we should in taxes. And then we have people lining up saying that higher education is a right! No way! It is a priviledge! We want our taxes reduced so our children can live comfortably.
I am not a socialist and never was! I would reform loan system in banks etc, if you are poor and you want to study in university or college,take a loan and spend your life paying it back. It is time to free up the potential of this country instead of tying us down with taxes and utopian plans of freebies for everyone!
Sorry for the outburst, but I am tired of watanzania kudanganyana eti free higher learning is a right!
FYI Eddy huko Philippines mi napaelewa vizuri nina family connection, and higher learning is not for FREE!! Kuna wanafunzi wengi vyuoni na hii inatokana na wazazi kuwa tayari ku-sacrifice watoto wao wasome! let's get our facts right!

Hapana. Ni nyinyi mnaopotosha mjadala. Elimu katika nchi hizo ni bure kwa maana mwanafunzi hadaiwi school fees. Hili halina mjadala. Hizo kodi kubwa mnazozungumzia si kwa ajili ya elimu peke yake bali ni kwa social welfare system yao yote. Kuanzia tiba, malipo ya wasiokuwa na ajira, malipo ya uzeeni n.k. Elimu ni sehemu tu ya matumizi ya kodi hizo. Tofauti yao na sisi ( hata sisi kodi zetu ziko juu sana) ni kuwa kodi zao zinatumika ipasavyo wakati sisi hatuwezi kusema hilo. Ndiyo maana nchi hizo pamoja na Canada ndizo zinaongoza kwa maisha bora kwa wananchi wao na sio Marekani (kabla ya Obama) inayojifanya kuwa kupunguza kodi ndiyo ufunguo wa maendeleo. Ni nchi kama marekani inayotegemea wahamiaji ili kuendeleza tafiti zake na kuweza kuifanya kuwa mshindani. Hivyo vyuo vikuu wanavyojisifia visingekuwa popote kama wahamiaji kutoka India, China na kwengineko wasingekuweko. Hiyo Silicon Valley bila hawa wahamiaji si chochote si lolote. Marekani kwa orgy yao ya kukata kodi wameharibu infrastucture yao ya elimu, ndiyo maana hiyo stimulus bill yao inalenga kuijenga tena.

Mnaodai kuwa hakuna wahandisi katika nchi za Sweden na Norway hamzijui nchi hizo. Kwa kuwekeza katika elimu, na kufanya iwe haki kwa kila mwananchi aliye na uwezo na jitihada ( kuna mitihani kuingia kwenye vyuo vyao) kumewaruhusu kupanua wigo la wananchi wao wenye uwezo wa kuingia. Tunachofanya sisi ni kuweka vigingi visivyo na sababu. Tunataka elimu iwe njia ya kututofautishe wenye nazo kifedha na wasio nazo. Hii si haki. Tunaposema kuwa elimu ya juu ya kila mwananchi inamaanisha kuwa juhudi za uhakika zifanyike kuhakikisha kila mwananchi mwenye uwezo kiakili na mwenye kujituma anawezeshwa kuingia kwenye hivyo vyuo kwa kadri ya uwezo wetu. Kama hatuwezi kutoa bure basi tutafute njia mbadala itakayowezesha wengi wafanikiwe kuingia kama si wote. Tunaposema Chakula bora ni haki ya kila mwananchi hatumaanishi kuwa apewe bure. Tunaposema makazi bora ni haki ya kila mwananchi, hatumaanishi kila mwananchi ajengewe nyumba. La hasha. Nia ni kujitahidi kuondoa vipingamizi vyote vilivyo ndani ya uwezo wetu vinavyomzuia mwananchi kupata haki hizi. Ni hivyo hivyo kwa elimu. Kusema watanzania hawako tayari ku-sacrifice kwa ajili ya elimu ya watoto wao si kuwatendea haki.

Amandla..........
 
Hapana. Ni nyinyi mnaopotosha mjadala. Elimu katika nchi hizo ni bure kwa maana mwanafunzi hadaiwi school fees. Hili halina mjadala. Hizo kodi kubwa mnazozungumzia si kwa ajili ya elimu peke yake bali ni kwa social welfare system yao yote. Kuanzia tiba, malipo ya wasiokuwa na ajira, malipo ya uzeeni n.k. Elimu ni sehemu tu ya matumizi ya kodi hizo. Tofauti yao na sisi ( hata sisi kodi zetu ziko juu sana) ni kuwa kodi zao zinatumika ipasavyo wakati sisi hatuwezi kusema hilo. Ndiyo maana nchi hizo pamoja na Canada ndizo zinaongoza kwa maisha bora kwa wananchi wao na sio Marekani (kabla ya Obama) inayojifanya kuwa kupunguza kodi ndiyo ufunguo wa maendeleo. Ni nchi kama marekani inayotegemea wahamiaji ili kuendeleza tafiti zake na kuweza kuifanya kuwa mshindani. Hivyo vyuo vikuu wanavyojisifia visingekuwa popote kama wahamiaji kutoka India, China na kwengineko wasingekuweko. Hiyo Silicon Valley bila hawa wahamiaji si chochote si lolote. Marekani kwa orgy yao ya kukata kodi wameharibu infrastucture yao ya elimu, ndiyo maana hiyo stimulus bill yao inalenga kuijenga tena.

Mnaodai kuwa hakuna wahandisi katika nchi za Sweden na Norway hamzijui nchi hizo. Kwa kuwekeza katika elimu, na kufanya iwe haki kwa kila mwananchi aliye na uwezo na jitihada ( kuna mitihani kuingia kwenye vyuo vyao) kumewaruhusu kupanua wigo la wananchi wao wenye uwezo wa kuingia. Tunachofanya sisi ni kuweka vigingi visivyo na sababu. Tunataka elimu iwe njia ya kututofautishe wenye nazo kifedha na wasio nazo. Hii si haki. Tunaposema kuwa elimu ya juu ya kila mwananchi inamaanisha kuwa juhudi za uhakika zifanyike kuhakikisha kila mwananchi mwenye uwezo kiakili na mwenye kujituma anawezeshwa kuingia kwenye hivyo vyuo kwa kadri ya uwezo wetu. Kama hatuwezi kutoa bure basi tutafute njia mbadala itakayowezesha wengi wafanikiwe kuingia kama si wote. Tunaposema Chakula bora ni haki ya kila mwananchi hatumaanishi kuwa apewe bure. Tunaposema makazi bora ni haki ya kila mwananchi, hatumaanishi kila mwananchi ajengewe nyumba. La hasha. Nia ni kujitahidi kuondoa vipingamizi vyote vilivyo ndani ya uwezo wetu vinavyomzuia mwananchi kupata haki hizi. Ni hivyo hivyo kwa elimu. Kusema watanzania hawako tayari ku-sacrifice kwa ajili ya elimu ya watoto wao si kuwatendea haki.

Amandla..........


Fundi Mchundo:

Nadhani masuala sio umuhimu wa kutosomesha au kusomesha. Suala kubwa ni resources.

For God sake, Tanzania haijawahi kujitegemea. Toka wengine tumezaliwa tunasikia kuwa bajeti yetu inategemea wahisani kwa asilimia 50%.

Mpaka sasa tax za Tanzania ni kubwa na bado tunashindwa kujitegemea. Hivyo kutoa nafasi za elimu ya juu kwa watu wengi itabidi watu wasalimishe mapato yao yote kama tax na wahisani wazidishe misaada yao kwa zaidi ya asilimia 1000.

Hizi pesa za EPA tunazopigia kelele hapa ni Mishahara ya timu moja tu ya NBA.

Samtaimu inabidi tufanye vitu kwa kutumia resources zetu ama sivyo tutakuwa tunakopakopa tu na kuwaachia vizazi vijavyo umasikini wa madeni.
 
Hapana. Ni nyinyi mnaopotosha mjadala. Elimu katika nchi hizo ni bure kwa maana mwanafunzi hadaiwi school fees. Hili halina mjadala. Hizo kodi kubwa mnazozungumzia si kwa ajili ya elimu peke yake bali ni kwa social welfare system yao yote. Kuanzia tiba, malipo ya wasiokuwa na ajira, malipo ya uzeeni n.k. Elimu ni sehemu tu ya matumizi ya kodi hizo. Tofauti yao na sisi ( hata sisi kodi zetu ziko juu sana) ni kuwa kodi zao zinatumika ipasavyo wakati sisi hatuwezi kusema hilo. Ndiyo maana nchi hizo pamoja na Canada ndizo zinaongoza kwa maisha bora kwa wananchi wao na sio Marekani (kabla ya Obama) inayojifanya kuwa kupunguza kodi ndiyo ufunguo wa maendeleo. Ni nchi kama marekani inayotegemea wahamiaji ili kuendeleza tafiti zake na kuweza kuifanya kuwa mshindani.


Not necessarily true! Marekani ni nchi yenye wataalamu wazawa wa kutosha. Hata hao wahamiaji waondoke warudi kwa Marekani bado itaendelea kutesa. That's a fact


Hivyo vyuo vikuu wanavyojisifia visingekuwa popote kama wahamiaji kutoka India, China na kwengineko wasingekuweko. Hiyo Silicon Valley bila hawa wahamiaji si chochote si lolote.


Hivyo vyuo viko hapo tokea enzi na enzi. Vimejengwa na Wamarekani na ni Wamarekani waliovipa sifa. Vinginevyo ni nyongeza tu. Hao wadosi wakiacha kuja kusoma huku Harvard, Yale, Brown, Princeton, Cornell, UP, na vinginevyo bado vitaendelea kutesa. Halafu kama hao wahamiaji kama wao wangekuwa mali kitu wangebaki basi kwenye hizo nchi zao wazifanye na zenyewe ziendelee kama Marekani. Hakuna anayewalazimisha kuja huku. Wanakuja kwa hiari yao na hawataki kurudi kwao. Why? Because America is soooo great


Marekani kwa orgy yao ya kukata kodi wameharibu infrastucture yao ya elimu, ndiyo maana hiyo stimulus bill yao inalenga kuijenga tena.
Mnaodai kuwa hakuna wahandisi katika nchi za Sweden na Norway hamzijui nchi hizo. Kwa kuwekeza katika elimu, na kufanya iwe haki kwa kila mwananchi aliye na uwezo na jitihada ( kuna mitihani kuingia kwenye vyuo vyao) kumewaruhusu kupanua wigo la wananchi wao wenye uwezo wa kuingia. Tunachofanya sisi ni kuweka vigingi visivyo na sababu. Tunataka elimu iwe njia ya kututofautishe wenye nazo kifedha na wasio nazo. Hii si haki. Tunaposema kuwa elimu ya juu ya kila mwananchi inamaanisha kuwa juhudi za uhakika zifanyike kuhakikisha kila mwananchi mwenye uwezo kiakili na mwenye kujituma anawezeshwa kuingia kwenye hivyo vyuo kwa kadri ya uwezo wetu. Kama hatuwezi kutoa bure basi tutafute njia mbadala itakayowezesha wengi wafanikiwe kuingia kama si wote. Tunaposema Chakula bora ni haki ya kila mwananchi hatumaanishi kuwa apewe bure. Tunaposema makazi bora ni haki ya kila mwananchi, hatumaanishi kila mwananchi ajengewe nyumba. La hasha. Nia ni kujitahidi kuondoa vipingamizi vyote vilivyo ndani ya uwezo wetu vinavyomzuia mwananchi kupata haki hizi. Ni hivyo hivyo kwa elimu. Kusema watanzania hawako tayari ku-sacrifice kwa ajili ya elimu ya watoto wao si kuwatendea haki.
Amandla..........

Wewe inaonekana ni America hater. Unapenda sana kupondea Marekani. Sijui umesomea wapi na sijui sasa hivi uko wapi lakini kama uko Marekani na umesomea Marekani, utakuwa mtu usiye na shukurani.
 

Wote mnaoshabikia hili swala mnakimbilia kwenye kusema eti elimu ya bure kwani nani amesema anataka elimu ya bure. Nchi zilizoendelea ni watu wachache sana wanaojisomesha kwa pesa yao zaidi ni mikopo (loans)
na financial aids. Serikali lazima iwe mdhamini wa watu wanaotaka kusoma maana hakuna benki inayotaka kumpa mkulima mkopo bila dhamama. Wote mnaochangia hapa ninaamini mna walau shahada ya kwanza na zaidi ni ajabu iliyoje watu mliosoma ( na wengi wenu mmesoma bure mkipewa nauli na pesa yakununulia chupi) leo hii muanze kudai eti elimu ya juu si lazima. This is pathetic.

Hapa umechemsha. Unapochukua mkopo wowote tayari hile pesa ni ya kwako. Kwa waliosoma akaunti watakueleza maana ya credit na debt. Na utakapomaliza shule utalipa, tena kwa interests.

Elimu ya bure kwa nchi kama Tanzania ni kulemaza watu akili tu.
 
Nyani Ngabu. Si maneno yangu. Ni nyinyi wamarekani mnaosema hivyo. Vijana wakimarekani hawataki kubaki kwenye academia. Na wala hawataki kusoma masomo ya sayansi kwa idadi inayohitajika. Pengine Marekani ina mawakili wa kutosha lakini katika fani ya sayansi haijitoshelezi.
 
Not necessarily true! Marekani ni nchi yenye wataalamu wazawa wa kutosha. Hata hao wahamiaji waondoke warudi kwa Marekani bado itaendelea kutesa. That's a fact

Mmarekani mzawa ni nani? Ukiondoa wahindi wekundu, wote si wahamiaji tu! Usijidanganye. Marekani haiwezi kudunda bila hao wageni. That's a fact.
 
Nyani Ngabu. Si maneno yangu. Ni nyinyi wamarekani mnaosema hivyo. Vijana wakimarekani hawataki kubaki kwenye academia. Na wala hawataki kusoma masomo ya sayansi kwa idadi inayohitajika. Pengine Marekani ina mawakili wa kutosha lakini katika fani ya sayansi haijitoshelezi.

Fundi,

Hivi kuna nchi kweli hapa duniani yenye idadi inayohitajika ya wanafunzi wasomao masomo ya sayansi? Na hiyo idadi inayohitajika ni idadi gani?

Kama unafuatiliaga washindi wa tuzo ya Nobel katika fani za sayansi na uchumi utaona kuwa Wamarekani wana dominate fani hizo. Na wengi wao si Wamarekani wenye asili ya Kidosi au Kichina (nikimaanisha oriental) bali ni Wamarekani wenye asili ya Ulaya. Ever wondered why? Na sitaki useme kuna upendeleo...Lol
 
Nyani,
Kuelezea ukweli wa hali halisi ya Marekani hakukufanyi uwe American hater. Aliyoyasema Fundi Mchundo kuhusu sayansi na IT ni kweli kabisa. Marekani imelazimika kuweka visa maalum kuwaleta vijana wa kihindi waliofuzu masomo ya IT kufanya kazi Sillicon Valley.
It is reality. Ukifuata historia hata bomu lao la kwanza la atomic walitengenezewa na Mjerumani/Myahudi. If I say that makes me an American hater?
 
Not necessarily true! Marekani ni nchi yenye wataalamu wazawa wa kutosha. Hata hao wahamiaji waondoke warudi kwa Marekani bado itaendelea kutesa. That's a fact





Hivyo vyuo viko hapo tokea enzi na enzi. Vimejengwa na Wamarekani na ni Wamarekani waliovipa sifa. Vinginevyo ni nyongeza tu. Hao wadosi wakiacha kuja kusoma huku Harvard, Yale, Brown, Princeton, Cornell, UP, na vinginevyo bado vitaendelea kutesa. Halafu kama hao wahamiaji kama wao wangekuwa mali kitu wangebaki basi kwenye hizo nchi zao wazifanye na zenyewe ziendelee kama Marekani. Hakuna anayewalazimisha kuja huku. Wanakuja kwa hiari yao na hawataki kurudi kwao. Why? Because America is soooo great




Wewe inaonekana ni America hater. Unapenda sana kupondea Marekani. Sijui umesomea wapi na sijui sasa hivi uko wapi lakini kama uko Marekani na umesomea Marekani, utakuwa mtu usiye na shukurani.


NN:

Points zako ni muhimu sana. Vijana wengi smart waliozaliwa Marekani wanasoma Law, financial, Management au udakitari. Hizi kazi zingine wanatuachia sisi.

Sasa watu wengi wakiona kwenye shule za Engineering wachache wanaona kama jamaa ni wazembe lakini sio kweli.
 
..Marekani siku zote imejengwa na wahamiaji.

..kwanza ilijengwa na wahamiaji ambao walikwenda bila ridhaa yao.

..Marekani ya leo na kesho inajengwa na wahamiaji waliojipeleka kwa hiari yao huko.

..Marekani itaporomoka siku itakaposhindwa ku-attract the best brains frm around the world.

NB:

..binafsi siombei Marekani iporomoke. financial crisis imenifundisha kwamba, Marekani ikipiga chafya, basi sehemu nyingine za dunia hushikwa homa kali, tena ya degedege.
 
Nyani,
Kuelezea ukweli wa hali halisi ya Marekani hakukufanyi uwe American hater. Aliyoyasema Fundi Mchundo kuhusu sayansi na IT ni kweli kabisa. Marekani imelazimika kuweka visa maalum kuwaleta vijana wa kihindi waliofuzu masomo ya IT kufanya kazi Sillicon Valley.
It is reality. Ukifuata historia hata bomu lao la kwanza la atomic walitengenezewa na Mjerumani/Myahudi. If I say that makes me an American hater?

Jasusi:

IT imegawanyika sehemu nyingi. Na katika IT mtu mwenye kutengeneza pesa ni yule mwenye ku-own intellectual property (IP). Wengi wanao-own (IP) ni wamarekani. Wengine ni programmers tu wanaokuja kupunguza gharama za uzalishaji.
 
I smell sentiments of a very selfishperson. Your taxes my ... Siyo kwa sababu wew unafanya kazi ndio udhani wewe pekee unalipa kodi kwa sababu tu unakatwa kutoka kwenye mshahara. Kama huafahamu kila mtanzania analipa kodi. Sijui unafahamu kitu kinaitwa VAT. KUpitia hiyo kila mtu hata bibi yako analipa akinunua chumvi, kiberiti, diseli (ambayo anatumia kama mafuta ya taa kwa ababu hawezi kuafford mafuta ya taa) na hata akitaka kununua sindano ya uunganishia kanga yake iliyochakaa analipia kodi. Sasa wewe haya madai ya kuwa wtz hawalipi kodi unayatoa wapi?
Nikupe mfano mwingine; mifugo ng'ombe, mbuzi, kondoo sina hakika kuhusu punda yote inalipiwa kodi kwa mamia kwa kila kichwa. Msihalalishe ufisadi wenu kwa kudai wtz hawalipi kodi, wanalipa sana ila mnazifisadi na ndio maana hamtaki watanzania wasome kwa sababu manajua siku ujinga ukiwatoka mtawaeleza kodi zao mlipeleka wapi.
Wote mnaoshabikia hili swala mnakimbilia kwenye kusema eti elimu ya bure kwani nani amesema anataka elimu ya bure. Nchi zilizoendelea ni watu wachache sana wanaojisomesha kwa pesa yao zaidi ni mikopo (loans)
na financial aids. Serikali lazima iwe mdhamini wa watu wanaotaka kusoma maana hakuna benki inayotaka kumpa mkulima mkopo bila dhamama. Wote mnaochangia hapa ninaamini mna walau shahada ya kwanza na zaidi ni ajabu iliyoje watu mliosoma ( na wengi wenu mmesoma bure mkipewa nauli na pesa yakununulia chupi) leo hii muanze kudai eti elimu ya juu si lazima. This is pathetic.

Muzee nikiongeza neno nitakuwa nimeharibu.

Taib sheikh..Taib.
 
Hapana. Ni nyinyi mnaopotosha mjadala. Elimu katika nchi hizo ni bure kwa maana mwanafunzi hadaiwi school fees. Hili halina mjadala. Hizo kodi kubwa mnazozungumzia si kwa ajili ya elimu peke yake bali ni kwa social welfare system yao yote. Kuanzia tiba, malipo ya wasiokuwa na ajira, malipo ya uzeeni n.k. Elimu ni sehemu tu ya matumizi ya kodi hizo. Tofauti yao na sisi ( hata sisi kodi zetu ziko juu sana) ni kuwa kodi zao zinatumika ipasavyo wakati sisi hatuwezi kusema hilo. Ndiyo maana nchi hizo pamoja na Canada ndizo zinaongoza kwa maisha bora kwa wananchi wao na sio Marekani (kabla ya Obama) inayojifanya kuwa kupunguza kodi ndiyo ufunguo wa maendeleo. Ni nchi kama marekani inayotegemea wahamiaji ili kuendeleza tafiti zake na kuweza kuifanya kuwa mshindani. Hivyo vyuo vikuu wanavyojisifia visingekuwa popote kama wahamiaji kutoka India, China na kwengineko wasingekuweko. Hiyo Silicon Valley bila hawa wahamiaji si chochote si lolote. Marekani kwa orgy yao ya kukata kodi wameharibu infrastucture yao ya elimu, ndiyo maana hiyo stimulus bill yao inalenga kuijenga tena.

Mnaodai kuwa hakuna wahandisi katika nchi za Sweden na Norway hamzijui nchi hizo. Kwa kuwekeza katika elimu, na kufanya iwe haki kwa kila mwananchi aliye na uwezo na jitihada ( kuna mitihani kuingia kwenye vyuo vyao) kumewaruhusu kupanua wigo la wananchi wao wenye uwezo wa kuingia. Tunachofanya sisi ni kuweka vigingi visivyo na sababu. Tunataka elimu iwe njia ya kututofautishe wenye nazo kifedha na wasio nazo. Hii si haki. Tunaposema kuwa elimu ya juu ya kila mwananchi inamaanisha kuwa juhudi za uhakika zifanyike kuhakikisha kila mwananchi mwenye uwezo kiakili na mwenye kujituma anawezeshwa kuingia kwenye hivyo vyuo kwa kadri ya uwezo wetu. Kama hatuwezi kutoa bure basi tutafute njia mbadala itakayowezesha wengi wafanikiwe kuingia kama si wote. Tunaposema Chakula bora ni haki ya kila mwananchi hatumaanishi kuwa apewe bure. Tunaposema makazi bora ni haki ya kila mwananchi, hatumaanishi kila mwananchi ajengewe nyumba. La hasha. Nia ni kujitahidi kuondoa vipingamizi vyote vilivyo ndani ya uwezo wetu vinavyomzuia mwananchi kupata haki hizi. Ni hivyo hivyo kwa elimu. Kusema watanzania hawako tayari ku-sacrifice kwa ajili ya elimu ya watoto wao si kuwatendea haki.

Amandla..........

Safi..Uwezeshwaji wa wananchi ..
 
Nyani,
Kuelezea ukweli wa hali halisi ya Marekani hakukufanyi uwe American hater. Aliyoyasema Fundi Mchundo kuhusu sayansi na IT ni kweli kabisa. Marekani imelazimika kuweka visa maalum kuwaleta vijana wa kihindi waliofuzu masomo ya IT kufanya kazi Sillicon Valley.
It is reality. Ukifuata historia hata bomu lao la kwanza la atomic walitengenezewa na Mjerumani/Myahudi. If I say that makes me an American hater?

Well, I guess kama ni hivyo basi tutaurdi kule kule na kuuliza Mmarekani halisi ni nani? Ni wazi kila mtu Marekani ni mhamiaji kwa namna moja au nyingine. Hata George Washington (yeye au wazazi wake) alikuwa mhamiaji. Sasa mkiniambia kuwa beef lenu ni na Wamarekani wenye asili ya Ulaya hapo nitawaelewa....lakini mkisema eti ni wahamiaji ndio wanaoifanya Marekani iwe jinsi ilivyo....haalooooo...this is a nation of Immigrants.....since day one
 
1. .OMBI
Naomba turudi kuizungumzia nchi yetu maana ni yetu na ya wajukuu wetu, umahiri wa kujua Marekani hivi..Marekani vile si mali kitu wakuu.

2. TAARIFA YENYEWE
Gosheni said:
Ndugu wanajamii serikali kupitia naibu waziri wa elimu imethibitisha elimu ya juu sio lazima kwa kila mtanzania kwa sababu serikali haina uwezo wa kusomesha watu wake.

Nikilitazama neno ‘kila mTz' ktk nukuu, nadhani serikali ipo SAHIHI kimantiki, na haipaswi kulaumiwa kwa hilo. Siamini ktk hali ya capacity ya vyuo vyetu na hali ya kiuchumi ya sasa, hata within 20 years to come, kama serikali inaweza kumpatia kila kijana wa kiTz elimu ya juu BURE. Hii ni ndoto ya mchana.

3. MIKAKATI
Pamoja ya kuwa kukosa uwezo kuwa sababu ambayo ni genuine, haiizuii serikali yetu kuonesha mipango iliyonayo kuhusu suala husika. Kuishia kusema tu ‘sina ela' is the simplest answer, valid though, lakini is not good enough. Wizara husika inabidi iwe na mikakati endelevu ikiwemo ku-inject fedha kugharamia iwe aidha ni mikopo kwa wanafunzi au scholarship kwa vijana walofanya vizuri. Pia inabidi iwe inakusanya na inahifadhi takwimu sahihi kuhusu mahitaji ya wataalamu mbalimbali, na ku-respond accordingly ktk kuhakikisha distribution nzuri ya wataalamu on-demand.

Pia kama walivyosema wadau wengine, attention pia ipelekwe kwenye kuimarisha kada za kati za utaalam, kama ufundi. Hawa nao waangaliwe kwenye mambo ya mikopo au scholarship, maana sio wote tunaoweza kupata admission kwenye vyuo vikuu na kuhimili changamoto za huko na pia ikumbukwe kada za kati zina mchango mkubwa tu ktk ujenzi wa taifa.

4. UKWELI WA MAMBO
Kama inavyojulikana kuwa elimu ni ghali, na hakuna kitu kizuri kisichokuwa ghali, basi uwepo mkakati wa jamii nzima kubadili fikra kuhusu uchangiaji wa elimu. Maana ktk hali ya hivi sasa baadhi ya walezi wapo radhi vijana wao wasome secondary yenye ada kwa mwaka 1.6-2.5 mil lakini wanataka gharama za chuo zile kwenye mfuko wa serikali. Tukumbuke kuwa serikali haitengenezi pesa, hu-raise funds kutoka kwenye vyanzo anuai. Tukumbuke daima kuwa idadi ya wahitaji mikopo au scholarship inaongezeka na kuwa competitive kila kukicha, hivyo kila mzazi au mlezi awe na mawazo haya mapema kabisa ya jinsi gani ya kumpatia elimu kijana wake.
 
Mmarekani mzawa ni nani? Ukiondoa wahindi wekundu, wote si wahamiaji tu! Usijidanganye. Marekani haiwezi kudunda bila hao wageni. That's a fact.

Hata kina Thomas Jefferson walikuwa wahamiaji, au sio? Hata Lincoln ana trace mizizi yake United Kingdom of Great Britain, sio? America is a nation of immigrants, sio?
 
Back
Top Bottom