Serikali ijitathimini kuhusu mikopo ya elimu ya juu . Hali ni tofauti na inavyodhaniwa

Escrowseal1

JF-Expert Member
Dec 17, 2014
4,430
4,222
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha wanafunzi wa elimu ya kati.

Ki ukweli hali ni tofauti wanafunzi wengi wenye vigezo hawajapewa mikopo na wana maisha magumu Sana vyuoni. Wengi inawalazimu ukoo mzima kuchangishana na kuwalipia mahitaji huku serikali ikipiga chenga kama za mchezaji Pele kuwa inashughulikia appeal zao.

Wanafunzi kurundikwa vyuoni na hasa wa kike wanawekwa kwenye majaribu makubwa. Kipindi hiki cha mitihani vijana wanahaha maana wasipolipa hawawezi kuendelea na mwaka wa masomo . Inabidi watoto kutapatapa kutafuta pesa kwa ndugu na jamaa wasio na majukumu juu yao.

Serikali ya CCM aliyewaroga aliishia wapi. Acheni kufanya siasa na future za watu. Kwa ufaulu niliouona mwaka huu nilijua kabisa kuna usanii utatokea . Kuna baadhi wameambiwa baada ya kufanya appeal kuwa watapewa mikopo mwakani , at the same time bado watoto wanahangaika chakula na na Karo na hawezi kuruhusiwa kufanya mitihani.

Hebu wahusika acheni kufanya udalali na future za wanetu wekeni mipango inayopimika na kama hamna uwezo basi hizo passes mnazotoa pungizeni wapate wenye ufaulu wa may be point kadhaa na kama serikali haina uwezo semeni kuliko Kufa na tai shingoni .CCM mmogwa na nani?
 
Serikali yenu haina hela. Na huo ndiyo ukweli mchungu. Wapigaji wanakomba tu hela na kwenda kujengea mahekalu yao. Hakika mtapata tabu sana aisee.
 
Serikali yenu haina hela. Na huo ndiyo ukweli mchungu. Wapigaji wanakomba tu hela na kwenda kujengea mahekalu yao. Hakika mtapata tabu sana aisee.
Sasa haina hela unafanya siasa kuwa italipia wanavyuo elimu ya kati huo si ujinga wa kiwango cha SGR
 
Serikali ya CCM aliyewaroga aliishia wapi. Acheni kufanya siasa na future za watu. Kwa ufaulu niliouona mwaka huu nilijua kabisa kuna usanii utatokea . Kuna baadhi wameambiwa baada ya kufanya appeal kuwa watapewa mikopo mwakani , at the same time bado watoto wanahangaika chakula na na Karo na hawezi kuruhusiwa kufanya mitihani.
Kijana tulia Serekali ipo kwenye mkakati wa kuagiza V8 mpya za watumishi kila Mkoa na kila moja sio chini ya 400 Million nyie hivyo vimillion vitatu vinne vya boom kutoka Loan Board ambayo hata mkipewa kurudisha mtiti endeleeni kupambana na umasikini wenu
 
Wanafunzi kurundikwa vyuoni na hasa wa kike wanawekwa kwenye majaribu makubwa.
Majaribu gani hayo ambayo wanafunzi wa kike tu ndiyo wanayapata?

Usije kusema watauza k zao. Wanafunzi wa kike watakaouza k zao hao ni wabobevu wa biashara hiyo wala wasisingizie mikopo.
 
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha wanafunzi wa elimu ya kati.

Ki ukweli hali ni tofauti wanafunzi wengi wenye vigezo hawajapewa mikopo na wana maisha magumu Sana vyuoni. Wengi inawalazimu ukoo mzima kuchangishana na kuwalipia mahitaji huku serikali ikipiga chenga kama za mchezaji Pele kuwa inashughulikia appeal zao.

Wanafunzi kurundikwa vyuoni na hasa wa kike wanawekwa kwenye majaribu makubwa. Kipindi hiki cha mitihani vijana wanahaha maana wasipolipa hawawezi kuendelea na mwaka wa masomo . Inabidi watoto kutapatapa kutafuta pesa kwa ndugu na jamaa wasio na majukumu juu yao.

Serikali ya CCM aliyewaroga aliishia wapi. Acheni kufanya siasa na future za watu. Kwa ufaulu niliouona mwaka huu nilijua kabisa kuna usanii utatokea . Kuna baadhi wameambiwa baada ya kufanya appeal kuwa watapewa mikopo mwakani , at the same time bado watoto wanahangaika chakula na na Karo na hawezi kuruhusiwa kufanya mitihani.

Hebu wahusika acheni kufanya udalali na future za wanetu wekeni mipango inayopimika na kama hamna uwezo basi hizo passes mnazotoa pungizeni wapate wenye ufaulu wa may be point kadhaa na kama serikali haina uwezo semeni kuliko Kufa na tai shingoni .CCM mmogwa na nani?
Mkuu uliamini serekali iliposema itatoa mikopo kwa wanafunzi wote? Watu wanapiga siasa za kupata kura boss.
 
Majaribu gani hayo ambayo wanafunzi wa kike tu ndiyo wanayaoata?

Usije kusema watauza k zao. Wanafunzi wa kike watakaouza k zao hao ni wabobevu wa biashara hiyo wala wasisingizie mikopo.
Watauza tu hakuna namna na huo ni mtego mzuri sana mabaazazi yamekaa kwa mkao wa kusubiri bucha liwe wazi Mafisi yajilie vyao
 
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha wanafunzi wa elimu ya kati.

Ki ukweli hali ni tofauti wanafunzi wengi wenye vigezo hawajapewa mikopo na wana maisha magumu Sana vyuoni. Wengi inawalazimu ukoo mzima kuchangishana na kuwalipia mahitaji huku serikali ikipiga chenga kama za mchezaji Pele kuwa inashughulikia appeal zao.

Wanafunzi kurundikwa vyuoni na hasa wa kike wanawekwa kwenye majaribu makubwa. Kipindi hiki cha mitihani vijana wanahaha maana wasipolipa hawawezi kuendelea na mwaka wa masomo . Inabidi watoto kutapatapa kutafuta pesa kwa ndugu na jamaa wasio na majukumu juu yao.

Serikali ya CCM aliyewaroga aliishia wapi. Acheni kufanya siasa na future za watu. Kwa ufaulu niliouona mwaka huu nilijua kabisa kuna usanii utatokea . Kuna baadhi wameambiwa baada ya kufanya appeal kuwa watapewa mikopo mwakani , at the same time bado watoto wanahangaika chakula na na Karo na hawezi kuruhusiwa kufanya mitihani.

Hebu wahusika acheni kufanya udalali na future za wanetu wekeni mipango inayopimika na kama hamna uwezo basi hizo passes mnazotoa pungizeni wapate wenye ufaulu wa may be point kadhaa na kama serikali haina uwezo semeni kuliko Kufa na tai shingoni .CCM mmogwa na nani?
Nilichogundua Mimi, ni sisi wananchi asilimia kubwa ni wajinga, wasomi ndio wamekuwa wajinga wa kupitiliza. Wanasiasa sio wa kiwaamini, hasa Hawa wa Afrika, hivi Tazama nchi zilizoendelea Wana elimu Bure? Wana Afya ya Bure? Wananishato ya Bure? Wana pembejeo za Bure? Sisi wapenda Bure, tunaambiwa bure tunakubali, ukiambiwa na ugali Bure utaacha kabisa kulima na kazi nyingine kusubiri Bure, utakufa. Sasa Cha kujiuliza wale tunaowaomba msaada hamna neno Bure, tutawezaje sisi ombaomba? Jamani tufanye kazi kwa bidii, yusiweke mustakabali wa maisha yetu na familia zetu kwa watu wengine badala ya sisi wenyewe. Elimu, Afya na maendeleo ya mwanao ni jukumu lako mwenyewe tambua hili na panga mkakati kabla hata hujaamua kuanzisha familia.
 
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha wanafunzi wa elimu ya kati.

Ki ukweli hali ni tofauti wanafunzi wengi wenye vigezo hawajapewa mikopo na wana maisha magumu Sana vyuoni. Wengi inawalazimu ukoo mzima kuchangishana na kuwalipia mahitaji huku serikali ikipiga chenga kama za mchezaji Pele kuwa inashughulikia appeal zao.

Wanafunzi kurundikwa vyuoni na hasa wa kike wanawekwa kwenye majaribu makubwa. Kipindi hiki cha mitihani vijana wanahaha maana wasipolipa hawawezi kuendelea na mwaka wa masomo . Inabidi watoto kutapatapa kutafuta pesa kwa ndugu na jamaa wasio na majukumu juu yao.

Serikali ya CCM aliyewaroga aliishia wapi. Acheni kufanya siasa na future za watu. Kwa ufaulu niliouona mwaka huu nilijua kabisa kuna usanii utatokea . Kuna baadhi wameambiwa baada ya kufanya appeal kuwa watapewa mikopo mwakani , at the same time bado watoto wanahangaika chakula na na Karo na hawezi kuruhusiwa kufanya mitihani.

Hebu wahusika acheni kufanya udalali na future za wanetu wekeni mipango inayopimika na kama hamna uwezo basi hizo passes mnazotoa pungizeni wapate wenye ufaulu wa may be point kadhaa na kama serikali haina uwezo semeni kuliko Kufa na tai shingoni .CCM mmogwa na nani?
Nilichogundua Mimi, ni sisi wananchi asilimia kubwa ni wajinga, wasomi ndio wamekuwa wajinga wa kupitiliza. Wanasiasa sio wa kiwaamini, hasa Hawa wa Afrika, hivi Tazama nchi zilizoendelea Wana elimu Bure? Wana Afya ya Bure? Wananishato ya Bure? Wana pembejeo za Bure? Sisi wapenda Bure, tunaambiwa bure tunakubali, ukiambiwa na ugali Bure utaacha kabisa kulima na kazi nyingine kusubiri Bure, utakufa. Sasa Cha kujiuliza wale tunaowaomba msaada hamna neno Bure, tutawezaje sisi ombaomba? Jamani tufanye kazi kwa bidii, yusiweke mustakabali wa maisha yetu na familia zetu kwa watu wengine badala ya sisi wenyewe. Elimu, Afya na maendeleo ya mwanao ni jukumu lako mwenyewe tambua hili na panga mkakati kabla hata hujaamua kuanzisha familia.
 
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha wanafunzi wa elimu ya kati.

Ki ukweli hali ni tofauti wanafunzi wengi wenye vigezo hawajapewa mikopo na wana maisha magumu Sana vyuoni. Wengi inawalazimu ukoo mzima kuchangishana na kuwalipia mahitaji huku serikali ikipiga chenga kama za mchezaji Pele kuwa inashughulikia appeal zao.

Wanafunzi kurundikwa vyuoni na hasa wa kike wanawekwa kwenye majaribu makubwa. Kipindi hiki cha mitihani vijana wanahaha maana wasipolipa hawawezi kuendelea na mwaka wa masomo . Inabidi watoto kutapatapa kutafuta pesa kwa ndugu na jamaa wasio na majukumu juu yao.

Serikali ya CCM aliyewaroga aliishia wapi. Acheni kufanya siasa na future za watu. Kwa ufaulu niliouona mwaka huu nilijua kabisa kuna usanii utatokea . Kuna baadhi wameambiwa baada ya kufanya appeal kuwa watapewa mikopo mwakani , at the same time bado watoto wanahangaika chakula na na Karo na hawezi kuruhusiwa kufanya mitihani.

Hebu wahusika acheni kufanya udalali na future za wanetu wekeni mipango inayopimika na kama hamna uwezo basi hizo passes mnazotoa pungizeni wapate wenye ufaulu wa may be point kadhaa na kama serikali haina uwezo semeni kuliko Kufa na tai shingoni .CCM mmogwa na nani?
Kwani si tumesoma mambo ya survival of the fittest? Subirini wajinga munaojiita wasomi muwe perished away, na muda Si mwingi wimbi Hilo Lita wa perish. Nyingi muliona Obama alipata vizingiti kiasi gani alipo amua kuleta wazo la Universal health care kule Amerika.
 
Back
Top Bottom