Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

Kuna jamaa alinishauri nikitaka panel watts 160 ninunue panel mbili yaani zenye watts 80 kila moja, anasema hz mbili ufanisi wake ni mzuri wakati wa kuchajisha battery tofauti na ile panel yenye watts 160 je, kuna ukweli juu ya hili?
 
Hapo ni swala la budget tu maana wengi hununua kwa awamu kufokana na hela uliyonayo ila kama una hela ya kutosha nunua panel moja kubwa.
 
Nilinunua battery ya solar N 100 inayotumia maji zinatengenezwa nchini Kenya nikashauriwa na muuzaji kwamba nikisha itia maji yake yale niiweke juani hiyo betry bila kuiunganisha kwenye panel kwa masaa angalau 3 au zaidi

na nianze kuitumia sikuamini ila baada ya masaa 4 niliifunga vifuniko vyake na kuanza kuipigisha mzigo sikuamini kama itafanya kazi kwakweli niliitumia kwa siku 5 kwa matumizi ya laptop bufa na kuchajia simu siku ya sita ndo nikaanza kuichajisha kwenye panel ya solar.
 
Nilinunua battery ya solar N 100 inayotumia maji zinatengenezwa nchini Kenya nikashauriwa na muuzaji kwamba nikisha itia maji yake yale niiweke juani hiyo betry bila kuiunganisha kwenye panel kwa masaa angalau 3 au zaidi na nianze kuitumia sikuamini ila baada ya masaa 4

niliifunga vifuniko vyake na kuanza kuipigisha mzigo sikuamini kama itafanya kazi kwakweli niliitumia kwa siku 5 kwa matumizi ya laptop bufa na kuchajia simu siku ya sita ndo nikaanza kuichajisha kwenye panel ya solar.

Mkuu hiyo betri ni bei gani na zinaitwaje?
 
Kama budget inaruhusu nashauri mununue battery ambazo hazitumii maji maana za maji zinahitaji walau kila mara ucheki na uongeze maji na pia life span yake ni ndogo japo zinafanya kazi pia ila hazina uhakika.

Kwa sasa brand sio issue sana maana nyingi zinatoka china, korea na kwingineko.

Mi nina ya korea na haina shida huu mwaka wa tatu sasa
 
Kama budget inaruhusu nashauri mununue battery ambazo hazitumii maji maana za maji zinahitaji walau kila mara ucheki na uongeze maji na pia life span yake ni ndogo japo zinafanya kazi pia ila hazina uhakika.

Kwa sasa brand sio issue sana maana nyingi zinatoka china, korea na kwingineko.

Mi nina ya korea na haina shida huu mwaka wa tatu sasa

Hiyo nayo ni nzuri mwaka wa tatu na bado iko vzur mpaka sasa.
 
Kuna panel 2 za watts 100 jumla watts 200 na betri la 100ah. Je! hapo naaweza ongeza betri la uwezo gani au la ah ngap?
 
Thanx a lot maana nimejkuta hata usingiz tupa kule nimepata elimu nzuri kwa utulivu na umakini kutoka kwenu asanteni saana nina kila reason ya kujivunia Jf
 
Panel za solar mkuu hazichukui miaka kadhaa

mangi jr bado mm naona sio tatizo kwa mfano pannel ya watts 200 ukiinunua kwa mia nne ukiitumia kwa miaka 7 au 6 na pengine ikawa zaidi ya hapo,

Utakuwa umeepuka gharama kubwa sana ya umeme inayopanda kila kukicha, vilevile utakuwa umeepuka migao isio na maana na kingine kinacho leta hamasa ya watu wengi kutumia umeme huu wa jua ni baada ya kuletwa vifaa maalum vya ndan ambavyo havitumii moto mwingi (yaan maalum kwa watumiaji wa solar).

Kama Friji, TV, Sabufa, PAS na vitu vingine kedekede.
 
Nashukru sana kwa darasa nimemnunulia mama solar panel watts 100 ana tumia taa 2 tv flat inch 42 na deki betry N100 lakini akiwasha tv akiangalia kwa muda wa saa 1 inazima tatizo ni nini?mkuu ikohi jubilant.
 
Last edited by a moderator:
Molembi TV yako. Uliyonunua ni watts ngapi? Ni DC TV au no ac TV ?
 
Back
Top Bottom