Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Azam TV
wadau,hii ni taarifa tunawapa wateja
wetu,hatuna haki ya kuendelea
kuzionesha chanel hizo za kenya NTV
na K24 nje ya mipaka ya
Kenya,Tutakapoanza kupatikana rasmi
Kenya na Uganda kama ilivyo mipango
yetu,hizo chanel zitaruka Azam Tv
Kenya,kama ambavyo local chanel za
hapa kwetu zisivyopatikana kwenye
visimbuzi vya Kenya au Uganda..ni
namna hizo chanel zilivyokubaliana na
kisimbuzi husika.Ni sawa na ambavyo
wadau wetu mnavyoweza kuingiza
chanel za MBC 3 ya Mauritius ndani ya
Azam TV kwa kumuita fundi wako
binafsi,ni uwezo wa Azam TV kuingiza
chanel hizo lakini haki ya kuzionesha
hatuna,lakini wateja wetu mnazo,na
zinaonesha mpira,sasa wakigundua
tunawafungia wateja wetu kama moja
kati ya chanel zilizo ndani ya package
yetu,wana uwezo wa kutushtaki ama
kututaka tuzitoe,kama ambavyo NTV na
K24 wamefanya..
Edited · Like · 3 · Reply ·
Wednesday at 7:09pm
3 replies
wadau,hii ni taarifa tunawapa wateja
wetu,hatuna haki ya kuendelea
kuzionesha chanel hizo za kenya NTV
na K24 nje ya mipaka ya
Kenya,Tutakapoanza kupatikana rasmi
Kenya na Uganda kama ilivyo mipango
yetu,hizo chanel zitaruka Azam Tv
Kenya,kama ambavyo local chanel za
hapa kwetu zisivyopatikana kwenye
visimbuzi vya Kenya au Uganda..ni
namna hizo chanel zilivyokubaliana na
kisimbuzi husika.Ni sawa na ambavyo
wadau wetu mnavyoweza kuingiza
chanel za MBC 3 ya Mauritius ndani ya
Azam TV kwa kumuita fundi wako
binafsi,ni uwezo wa Azam TV kuingiza
chanel hizo lakini haki ya kuzionesha
hatuna,lakini wateja wetu mnazo,na
zinaonesha mpira,sasa wakigundua
tunawafungia wateja wetu kama moja
kati ya chanel zilizo ndani ya package
yetu,wana uwezo wa kutushtaki ama
kututaka tuzitoe,kama ambavyo NTV na
K24 wamefanya..
Edited · Like · 3 · Reply ·
Wednesday at 7:09pm
3 replies