huu uzi ndio ulinifanya nikanunua azam decoder but naona maujanja wanapeana inbox tuuu hapa hata ukiuliza swali hujibiwi
Sisi wengine tutaendeelea kubaki dstv mpaka mchawi wa kutegua kitendawili cha epl atakapo patikana, kwetu sis wazee wa torrent sihitaji movie channels za nini wakati siku hizi kila movie na series napata kabla m net na mbc wajaonyesha kwenye premium chanel zao, just mpira tuleteeeni epl wazalendooo tuachane na makaburu
msaada wapendwa nina dekoda ya q-sat q 116 nimeshadanulodi stesheni 256 tatizo nikiiweka kwenye dish la azam inaonyesha strengh 90% quality 0% je nifanyeje ili nipate uhondo au nitumie atena ya kawaida lakini sijaijaribu.Tafadhari msaada wakuu.
mbadala wa dstv ni irib kwa sasa.
shida yako ni ninimkuu.?
dish futi 6 c band, nw recever yeyote inayo weza ku edit key.
Naona tatizo kubwa wengi wanataka kuona Epl! Mbona kunajia nyingine raisi tu tofauti nadish! Najua singeni kwenu ila inasaidia pia! Mihutumia live streaming kupitia my laptop! Najiunga kwa mb 300 na zama kwa link itwayo cricfreetv.com ambapo napata skysport one mpaka 4, bet one mpaka 3 na n.k. naangalia mechi zangu nkwa kukuza picha kutoka kwenye laptop mpaka kwenye lcd tv yangu! Kwa wiki natumia 3000 naona mechi zote! Hakikisha tu upo kwenye 3g network
Yoga ngoja nilifanyie kazi hili ntakupa feedback maana nalipia DSTV home premium wakati mpira naangalia peke yangu wengine wapenzi wa tamthilia tuuNaona tatizo kubwa wengi wanataka kuona Epl! Mbona kunajia nyingine raisi tu tofauti nadish! Najua singeni kwenu ila inasaidia pia! Mihutumia live streaming kupitia my laptop! Najiunga kwa mb 300 na zama kwa link itwayo www.cricfreetv.com ambapo napata skysport one mpaka 4, bet one mpaka 3 na n.k. naangalia mechi zangu nkwa kukuza picha kutoka kwenye laptop mpaka kwenye lcd tv yangu! Kwa wiki natumia 3000 naona mechi zote! Hakikisha tu upo kwenye 3g network
Mi nashangaa wanachoangaikia raia ni nini hasa kama ni soka la Ulaya,Amerika na Asia kuna stream TV nyingi tu na unaweza ukaunganisha kwa TV yako ila nadhani raia hawaelewi hilo mi jero daily naangalia hadi nachoka
Mi nashangaa wanachoangaikia raia ni nini hasa kama ni soka la Ulaya,Amerika na Asia kuna stream TV nyingi tu na unaweza ukaunganisha kwa TV yako ila nadhani raia hawaelewi hilo mi jero daily naangalia hadi nachoka
Sisi wengine tutaendeelea kubaki dstv mpaka mchawi wa kutegua kitendawili cha epl atakapo patikana, kwetu sis wazee wa torrent sihitaji movie channels za nini wakati siku hizi kila movie na series napata kabla m net na mbc wajaonyesha kwenye premium chanel zao, just mpira tuleteeeni epl wazalendooo tuachane na makaburu
mbadala wa dstv ni irib kwa sasa.