Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Huduma za azam tv ni supa!!!. Ila nina tatizo sijui ni king'amuzi changu tu? ila yani naona kama hakina nguvu na haiko stable sometime sauti na picha zinatofautiana na ukitumia USB kuplay media inatumia muda sana kucheza video inayofuata. Nataka nikirudishe so nipeni experience zenu nijue kama ni vyote au changu tu
 
Huduma za azam tv ni supa!!!. Ila nina tatizo sijui ni king'amuzi changu tu? ila yani naona kama hakina nguvu na haiko stable sometime sauti na picha zinatofautiana na ukitumia USB kuplay media inatumia muda sana kucheza video inayofuata. Nataka nikirudishe so nipeni experience zenu nijue kama ni vyote au changu tu

Aisee ni chako tu mi sipati tatizo lolote mkuu na ujija upande wa kuplay USB ni nouma iko poa sana tena mi nadownload HD video
 
WADAU ninawakaribisha ktk grup la face book linalo itwa
>Ulimwengu wa fta satellite tvs.
Tubadilishane mawazo na tufundishane mambo yanayo usu fta ch,tvs n.k
 
WADAU ninawakaribisha ktk grup la face book linalo itwa
>Ulimwengu wa fta satellite tvs.
Tubadilishane mawazo na tufundishane mambo yanayo usu fta ch,tvs n.k

Ebwana kwa sie ambao hatutumii fb inakuwaje?

Anzisha group la whatssapp
 
WADAU ninawakaribisha ktk grup la face book linalo itwa
>Ulimwengu wa fta satellite tvs.
Tubadilishane mawazo na tufundishane mambo yanayo usu fta ch,tvs n.k

si rahisi kutuhamisha huku, mi tabaki hapahapa
 
Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

Niliona kwenye list ya azam tv kuna dubai one channeli lakini mie siipati. Kuipata unafanyaje?
 
k24 na ktn zimeondolewa ktk package ya azam.
 
Hiyo ni kwa ajili ya kuangalia picha, miziki na video mbali mbali za kwako mwenyewe kutoka kwa computer yako na ili zoezi lifanikiwe unahitaji Kuwa na Pc na Usb yako ambayo uta i connect kwa Pc yako na kisha kuiformat kwenye mfumo wa FAT, au FAT32 then utafeed data zako, ukimaliza utaichomeka nyuma ya receiver yako kwa port ya Usb kisha shika remote yako bonyeza button ya media na chagua unachotaka kucheza.
 
wapendwa naomba nijue hvi hizo hd channel ili uzione unahitaji tv ya kisasa?? pia nina channel hazionyeshi nifanyaje ili nizione??
 
azam tv majanga,inatokea mawingu na mvua huoni kitu,serious hii kitu warekebishe ili mambo yafanikiwe tofauti na hapo,sidhani kama ni ya kuangalia kiangazi tu,maeneo yenye mvua kama mbeya,iringa na mwanza huoni kitu wakati wa mvua.
 
Azam TV
Wadau,
Tunapokea malalamiko kutoka
kwenu kuwa chanel za ZBC,K24 na
NTV zinaandika ACCESS DENIED.
Kuhusu channel hizi za Kenya yaani
K24 na NTV,hazitoweza tena
kupatikana ndani ya Azam TV kwani
tumepaswa kuziondoa kutokana na
kutokuwa na haki za kuendelea
kuzirusha nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa Wahusika wa hizo
chanel,wametutaka tuzitoe na
hazipaswi kuoneshwa nje ya mipaka
ya Kenya...poleni kwa usumbufu
wowote mliyoupata na
utakaojitokeza.
Kuhusu ZBC sasa imerudi hewani
lilikuwa ni tatizo la kiufundi tu lakini
sasa limeshashughulikiwa na
inaruka kama kawaida.
Azam TV Burudani kwa Wote.
 
Back
Top Bottom