Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

hyo ni channel inayorusha mipira ming sana kuliko channel yeyote ya fta. unaweza kuipata kwa kutumia receiver yeyote ile inayao edit biss key na uelekeo wake ni linakozama jua , unageuza dish lako la fut 6 linakozama jua , hautoi neflon ya kweny cband hapo una enjoy irib tv
 
wadau naomba kuuliza hivi unaweza funga receiver ya C-Bank kwenye dish dogo la futi 4 na ukapata mambo fresh??
 
daahh ngoja wajuzi wenzagu waje maana me mwenyewe sijawahi jaribu
 
irib what is that? Never heard of that dudu!

inaonekana uelewa wako bado sana ktk haya mambo, irib ni chanel za irani, kuna chanel mbili ambazo ni za sport, irib 3 na irib verzesh... izi chanel zina haki miliki za kuonesha ligi kuu nane za nchi tofauti tofauti zikiwemo... epl,laliga,french ligi one,bundasliga, fa,uefa, uropa na makando kando yake yote ya aina zote za michezo..... wanaonesha game zoteeeee iwe star match au under dog games, tena ni bureeeeeeee haulipiii chochote, na saizi wamepata mkataba wa kombe la dunia... picha zao ni hd pia na zinapatikana arab sat5 c band.
 
wadau naomba kuuliza hivi unaweza funga receiver ya C-Bank kwenye dish dogo la futi 4 na ukapata mambo fresh??

recever ina fanya kazi ktk dish lolote... ilimladi uwe na hakika kua izo chanel ziko ktk mfumo ambao io receiver inaweza kuzifungua.
 
inaonekana uelewa wako bado sana ktk haya mambo, irib ni chanel za irani, kuna chanel mbili ambazo ni za sport, irib 3 na irib verzesh... izi chanel zina haki miliki za kuonesha ligi kuu nane za nchi tofauti tofauti zikiwemo... epl,laliga,french ligi one,bundasliga, fa,uefa, uropa na makando kando yake yote ya aina zote za michezo..... wanaonesha game zoteeeee iwe star match au under dog games, tena ni bureeeeeeee haulipiii chochote, na saizi wamepata mkataba wa kombe la dunia... picha zao ni hd pia na zinapatikana arab sat5 c band.

Hilo sio suruhisho...! Channel za Kiarabu wanatangaza mpira wanapiga kelele? Tunataka Commentary, tunataka post match reaction, tunataka fanzones nk nk .........Guess I have to stay with DSTV
 
hyo ni channel inayorusha mipira ming sana kuliko channel yeyote ya fta. unaweza kuipata kwa kutumia receiver yeyote ile inayao edit biss key na uelekeo wake ni linakozama jua , unageuza dish lako la fut 6 linakozama jua , hautoi neflon ya kweny cband hapo una enjoy irib tv

mkuu io sio fta kwa huku afrika tuna zifungua kwa biss key ila kuna sehemu zingine wanazilipia. ila nampa pole kwa gharama azo wapa makaburu kila siku ilhali game anazo ona zote na mimi naona tena bureeeeeeee
 
Hilo sio suruhisho...! Channel za Kiarabu wanatangaza mpira wanapiga kelele? Tunataka Commentary, tunataka post match reaction, tunataka fanzones nk nk .........Guess I have to stay with DSTV

kumbe napoteza muda wangu bure kwa mtu kama wewe ambae kutokana na kutoelewa kwako kiarabu ndo unaita kelele.? mtu wa ovyo sana wewe rudi shule kasome tena bna, kama hujui lugha flan fanya juhudi ujue sio kuji tia tia kiburi tu kutokana na kingereza chako cha ugoko.
 
kumbe napoteza mura wangu bure kww mtu kama wewe ambarle kutokana na kutoelewa kwako kiarabu ndo unaita kelele.? mtu wa ovyo sana wewe rudi shule kasome tena bna, kama hujui lugha flan fanya juhudi ujue sio kuji tia tia kiburi tu kutokana na kingereza chako cha ugoko.

mkuu achana naye mshamba huyo leta mambo tuenjoy mkuu
 
wazoefu hizo biss key, tulio na str mpeg 2, zinafungua? na kama siyo tuipate ipi ambayo ina ubora?
 
recever ina fanya kazi ktk dish lolote... ilimladi uwe na hakika kua izo chanel ziko ktk mfumo ambao io receiver inaweza kuzifungua.

na vipi kuhusu LNB unaweza pachika ya ku-band na c-band pamoja kwenye dish dogo kama la DSTV???
 
wazoefu hizo biss key, tulio na str mpeg 2, zinafungua? na kama siyo tuipate ipi ambayo ina ubora?
 
wazoefu hizo biss key, tulio na str mpeg 2, zinafungua? na kama siyo tuipate ipi ambayo ina ubora?

tafuta mpeg 4, dunia haipo uko ulipo mpeg2 wamesha hama zamani mkuuu.


kama utaipata badr 5@26 io receiver yako itafaa mana kule ndio bado wako mpeg 2 sat nyingne zote wako mpeg4
 
kama dish lako la azam limesetiwa vizuri, add sat ses@5 e kama zioe nyingine kisha add frequence izi 11727 h 27499 utapata samanyolu tv ktk kisimbusi chako.
 
kama dish lako la azam limesetiwa vizuri, add sat ses@5 e kama zioe nyingine kisha add frequence izi 11727 h 27499 utapata samanyolu tv ktk kisimbusi chako.

mkuu tupe frequence zingine tuenjoy za movie etc natanguliza shukrani
 
wakuu hivi siwezi nikapata frequence za dubai one kwa azam decoder msaada wenu wapendwa

leo ngoja nilijibu swali hili mana naona watu wana hamu sana na io chanel, ukweli ni kwamba io chanel azam walifanya uhuni kua wanayo ili wauze lakini kiuhalisia hawana io chanel inapatikana nile sat 7@w hapo ulopo azam kuna sat nyingi sana ziko kalibu kalibu mfano, ses@5, eutel 7a & eutel 8 pembeni kidogo kuna amos5 na eutel17 ni kiasi cha wewe kulichezesha dish lako tu.. na mambo yanajipa tu.
 
Back
Top Bottom