Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 540
- Thread starter
- #61
Hapana Victor si muumbui,ila hili ni jukwaa tu tunaelimishana,mfano awali nilimkosoa kwenye symbol rate badala ya 3210 akaandika 1032,sasa mtu anaweza akaanza majaribio akakosa kitu kwa kosa dogo si unajua mambo ya dish satellite ukikosea frequency au SR hupati kitu,mala ya pili nimenyoosha tu maelezo,maana Eutelsat @7' naifahamu toka GTV (G sports)walipokuwa wanaitumia hiyo satellite.
BURTON JORDE
safi sana mkuu,umeeleweka vyema,kama una friquenc nyingne naomba share nasi mkuu.