Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
Elimu bora zaidi, na ndo mana hata wahyi wa mwanzo kwa Mtume wetu kutoka kwa Allah ilkua ni Iqraa, yaani kusoma.
Hii ni kuonesha kwamba without elimu hata ukiwa na hela utayumba tu.
Tajiri mwenye elimu na tajiri aso elimu ni tofauti km white na black
Hii ni kuonesha kwamba without elimu hata ukiwa na hela utayumba tu.
Tajiri mwenye elimu na tajiri aso elimu ni tofauti km white na black