Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Wakubwa naomba mnisaidie hii mada kidogo,ELIMU na PESA bora nini maana unaweza kusoma vyuo vikuu hata zaidi ya mia lakini ukaacha chuo ukaenda kuomba kazi je kuna umuhimu kama leo hii ukizaliwa uokote fuko la pesa ili usisome?