Eid Mubaarack. تقبل الله منا ومنكم

Eid Mubaarack. تقبل الله منا ومنكم

Fungueni kwa kuonekana mwezi, kama mwezi haujaonekana katika nchi yako, wewe taarifa ya kuonekana mwezi umeitoa wapi, Quran inasema tumieni redio/darubini/TV kusikia habari ya kuonekana mwezi?
Ni wapi Quran imesema kuwa lazima mwezi uonekane kwenye nchi yako ndio ufunge?!
Halafu bila simu,TV na radio wafuasi wa bakwata waliopo huko Kibondo vijijini mkoani Kigoma watapataje taarifa ya mufti wao aliyepo Dar Salam kuwajulisha kuwa mwezi umeandama au haujaandama?!
Ikiwa inaruhusiwa kwa muislamu wa huko wilayani Ngara mkoani Kagera kupokea taarifa za mwezi toka Dar es salaam Tanzania kupitia simu,tv na radio kuna ubaya gani Mimi mtu wa Dar es salaam kutumia simu,tv na radio kupokea taarifa toka kwa ndugu zetu waislamu waliopo pande mbalimbali za dunia?!
 
Kwetu sisi waislamu kutofautiana kwa baadhi ya mambo ni rehma na wala sio shar hata kidogo

Eid ni jambo dogo ukilinganisha na funga yenyewe,eid ni hitimisho la mwezi wa ramadhani,kwahiyo wewe ukilimaza leo na mimi kesho wala hakuna shida

Mfungo wa mwezi wa Ramadhani ni siku 29 au 30 hazizidi hapo,kwa mfano wenzetu.leo wamemaliza kufunga siku 29 na sisi tupo 28,hakuna mfungo wa siku 28,ni 29 au 30 tu basi

Kwahiyo hata kama mwezi haujaonekana tunakamilisha siku 30 na ndio eid yetu

Asante
Je km siku 30 zimefika na mwezi haujaonekana huko angani, inakuajee? Lol
😂😂😂😂
 
Sio lazima kukubali. Wao Wana wafuasi wao wanaotegemea taarifa zao ila waislamu wanaojitambua huwa hawategemei taarifa za bakwata kwakuwa hakuna mahala ambapo Allaah kawapa kibali bakwata kuwa wasemaji wa waislamu.
Wewe dini umeisomea wapi?
 
Muogopeni Allaah, Acheni kutangaza madhambi yenu?!
Ziogopeni adhabu za Allaah za duniani na akhera!.
Kuna demu flan hv wa Kiislamu niliwahi kuichapa, aisee ana mbunye tamu knoma 🙌 namuonea wivu siku akifa atakwenda kuwa chakula cha magaidi huko peponi
 
Huu si wakati wa waislamu kulumbana kuhusiana na.mwandamo wa mwezi,tujielimishe na wala hatuto tofautiana kutokana na tofauti zetu za uelewa juu ya mwandamo

Binafsi nikiona mtu analumbana kuhusiana na mwandamo wa mwezi huwa namshangaa na kumuhurumia sana

Wanaotaka kupanua uelewa wa mambo angalieni hii video mtajifunza kitu,trust me hutojutia


View: https://www.youtube.com/live/4aL81XzIAWI?si=3oizyqMg_sabg_ob
 
Bora hao wasiokua nayo, kuliko hawa walionayo na bado wanatofautiana ktk kuadhimisha hiyo siku.

Eid yaleta mvurugano, hii inabidi iitwe "EID KIVURUGE"
😂😂😂😂
Ikiwa baadhi ya wakristo wanasherehekea pasaka na wengine hawasherehekei sio mvurugano?!
Unajua wale wasiosherehekea wanawasemaje wale wanasherehekea?!
 

Attachments

  • Askofu_Ngwajima_amtukana_Askofu_Mkuu_Pengo(360p).mp4
    14.5 MB
Hata hizo nchi zilizotangaza kuuona mwezi zina mamufti Tena wenye elimu kushinda hawa mashehe ubwabwa wa hapa Tanzania.
Mwezi umeonekana Saudi Arabia, Qatar na Umoja wa Falme za kiarabu.
Hapo kuna mamufti watatu wenye elimu za kutosha ambao wamethibitisha mwezi umeonekana , Sasa Mimi niache kuwasikiliza mamufti watatu wa nchi za kiislamu ningoje ngonjera za mufti wa bakwata ?!
Unaweza ukanipa sababu kwa nini mwezi ukiandama Yemen Saudia hawaufuati?

Na Yemen na Saudia ni nchi jirani!
 
Nilikuwa nimejiandaa kufuturisha kesho, kama ni sikukuu ratiba imeharibika
 
Je km siku 30 zimefika na mwezi haujaonekana huko angani, inakuajee? Lol
😂😂😂😂
Huenda hukusoma kwa kutulia,ukirudia komenti yangu nimesema mfungo mwisho ni siku 30 za mwezi wa ramadhani,kwahiyo hata dunia nzima kukijaa wingu hesabu haziongopi inakuwa ni eid tayari
 
Huenda hukusoma kwa kutulia,ukirudia komenti yangu nimesema mfungo mwisho ni siku 30 za mwezi wa ramadhani,kwahiyo hata dunia nzima kukijaa wingu hesabu haziongopi inakuwa ni eid tayari
Alaaah kumbe?! ko Leo chungu cha ngapi?
😂😂😂😂😂
 
Ikiwa baadhi ya wakristo wanasherehekea pasaka na wengine hawasherehekei sio mvurugano?!
Unajua wale wasiosherehekea wanawasemaje wale wanasherehekea?!
Sio mvurugano na hakuna wanachosema, kubalini ukweli kuwa EID hii ni KIVURUGE
 
Wewe dini umeisomea wapi?
Anza wewe mimi nitamalizia!
Wewe dini umeisomea wapi?!
Kwa sababu yawezekana ikawa mtu anayeniuliza nilikosomea dini yeye hajaisoma kabisa!.
Nieleze wewe dini umeisomea wapi na kwa kiwango gani, Je kiwango chako ni Rawdhwa, Ibtidaaiy, Ii'daadiy, Thaanawiy au Jaamiah, Maajisteer au Douktouraah?
Eleza tafadhali wewe umeisomea wapi na elimu yako ni kiwango gani?!
Al Imaami Al shaafiy katika maneno yake alisema:
"ما جادلت جاهلا إلا غلبني وما جادلت عالما إلا غلبته'"
Naomba tafsiri ya maneno hayo ili nijue nazungumza na mtu wa kiwango gani!
 
Alaaah kumbe?! ko Leo chungu cha ngapi?
😂😂😂😂😂
Wanao kula kesho eid ni cha 29,nasi cha 28,kwahiyo sie wa 28 lazima kesho tufunge cha 29 hlf tunacheki mwezi kama umeandama ni sawa eid na lau haukuandama basi tutafunga 30 jtatu na jnne ni sikukuu bila hata kuangalia mwezi

Ila jtatu inshallah itakuwa eid kwa sie wengine,Allah anajua zaidi

Asante
 
Back
Top Bottom