Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,740
- 27,103
naona kunawatu wanataka kuleta harufu ya kisiasa hasa jamaa wa chadema
niwakumbushe eid haiwahusu kwa mtindo huyo wallah
niwakumbushe eid haiwahusu kwa mtindo huyo wallah
Kwa mujibu wa fiqihi au sharia ya kiislamu kazi ya mufti ni kutoa majibu ya maswali mbalimbali yanayowatatiza waislamu na sio kutangaza mwezi.Mufti ametangaza?
Nyie watu hata hamueleweki, kama naniliu tu.... mnatuharibia sana ratiba zetu na hata sirikali kuna wakati haielewiKesho jumapili ya tarehe 30 march 2025 ni sikukuu ya Eid Al fitri kwa waislamu wote duniani.
Eid hii inakuja baada ya kuonekana mwezi wa shawwaal (mfungo Moshi ) ambao ni alama ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Taarifa za kuonekana mwezi wa shawwaali zimepatikana toka mataifa mbalimbali ya kiislamu ikiwa pamoja na Saudi Arabia, Qatar na Umoja wa Falme za kiarabu UAE.
Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم amesema: "fungeni kwa kuonekana mwezi, na fungueni kwa kuonekana mwezi, na mwezi ukifunikwa juu yenu(msiuone) kamilisheni siku thelathini)
Kunako majaliwa mimi nataraji kuswali swala ya Eid kesho asubuhi saa Moja na nusu katika uwanja wa Mandela mtaa wa Pasua manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro..
Namuomba Allaah azikubali ibada zetu za mwezi wa Ramadhani, na kwa rehema zake atupe uwezo na umri wa kuifikia Ramadhani ya mwaka ujao. Aammiyn.
Sio lazima kukubali. Wao Wana wafuasi wao wanaotegemea taarifa zao ila waislamu wanaojitambua huwa hawategemei taarifa za bakwata kwakuwa hakuna mahala ambapo Allaah kawapa kibali bakwata kuwa wasemaji wa waislamu.Je Bakwata watakubali
Sio kweli.Saudi Arabia wanafuata kalenda, mwezi uonekane usionekane wanafungua
Mimi nimefunga na bakwata nafungua na saudia Arabia 😃Waislamu wenzetu mnao sheherekea eid kesho,tuna watakia sikukuu njema
Eid Mubarak
Utaratibu uliowekwa na nani?!Idd ni jumatatu na Jumanne tusiharibu utaratibu
Mashallah Zuu!.Astaghafirullah
Baada ya Ramadhani utalipa siku moja.Mimi nimefunga na bakwata nafungua na saudia Arabia 😃
Jielimishe kwanza hlf uje uandike tenaHakuna miezi miwili duniani..
Ni swala la Elimu tuu. Hao wasoma dini ya kislam wengi hawataki kusoma na Elimu za sayansi hivyo akili zao zimekuwa zakukariri tu.
..
Mwezi unaweza kuonekana Dodoma ila Dar usionekane sio hakuwepo, laahasha, ila ni Swala la majira(Mwanga wa jua, mawingu, milima, humidity, n.k).
Nakumbuka mwaka flani nikiwa mdogo mkoani kilimanjaro kijiji nilichokuwepo tuliona mwezi ila hakukutangazwa kuwa ni Iddi kitaifa(hapa mfano utasemaje).
Ndo maana kamwe hutoona Nchi ambazo wameletea dini kama Saudia Arabia wanachangamoto hizi za Idd kwasababu ukiacha dini ila wanashirikisha na Sayansi
Pia kwa vile nchi yao ni jangwa hivyo kuandama kwa mwezi hunaonekana zaidi kwani hakuna mawingu jioni.
Mwezi ni mmoja mambo sijui eti uwepo kenya alafu Tz usiwepo ni ukosefu wa elimu tuu za sayansi na kubaki kuriri tu
Inakuwaje kila mwaka wao wanakuwa wa kwanza kuona mwezi kulinganisha na sisi?Sio kweli.
Hitilafu ni rehema katika uislamu kwahiyo fuata kile unachoamini AaliyyahMimi nimefunga na bakwata nafungua na saudia Arabia 😃
Jielimishe kwanza hlf uje uandike tena
Wanawahi wapi??Waislamu wenzetu mnao sheherekea eid kesho,tuna watakia sikukuu njema
Eid Mubarak
Hata hizo nchi zilizotangaza kuuona mwezi zina mamufti Tena wenye elimu kushinda hawa mashehe ubwabwa wa hapa Tanzania.Mufti kashasema idd ni tar 31 au tar 1 hiyo ya idd ya kesho ni ya wavaa suruwale fupi na makobazi.