EID ni j3 au 4,? sitaki kuhusu kuandamwa kwa mwezi, mie nataka kuhesabu kwa chungu.Wanao kula kesho eid ni cha 29,nasi cha 28,kwahiyo sie wa 28 lazima kesho tufunge cha 29 hlf tunacheki mwezi kama umeandama ni sawa eid na lau haukuandama basi tutafunga 30 jtatu na jnne ni sikukuu bila hata kuangalia mwezi
Ila jtatu inshallah itakuwa eid kwa sie wengine,Allah anajua zaidi
Asante
Wewe huna ujualo ! Dini yako huijui halafu unajitia kukosoa dini za wengine?!Sio mvurugano na hakuna wanachosema, kubalini ukweli kuwa EID hii ni KIVURUGE
Uislamu unafuata lunar kalenda kwa maana kalenda ya mwezi,kwahiyo lazima ufuate tarehe kutokana na muandamo wa mweziEID ni j3 au 4,? sitaki kuhusu kuandamwa kwa mwezi, mie nataka kuhesabu kwa chungu.
Fungeni kwa kuuona mwezi na fungueni kwa kuuona mwezi ama kwa kutimia siku 30. Dini hii sio ngumu unavyofikiri. Zikifika 30 kama mwezi hamjauona hairuhusiwi kuendelea kufunga.Shida mnayo nyie, huko kutofautiana kwa Eid,
Had mwenzi uonekane, je km siku 30 zimepita na hauonekani, inakuaje hapo? Lol
Baadhi ya miezi ya kiislamu waswahili waliipa majina ya kiswahili kama tafsiri yake saa nyingine ili waikumbuke vizuri katika namna ya kuihesabu wasipate tabu wakati wa kuihesabu.Mfungo Moshi ni upo huo shekhe?
28Wewe utakuwa umefunga 27 sasa😂😂
"Sikuwahi kubishana na mjinga ila alinishinda, na sikuwahi kubishana na mjuzi ila nikamshinda."Anza wewe mimi nitamalizia!
Wewe dini umeisomea wapi?!
Kwa sababu yawezekana ikawa mtu anayeniuliza nilikosomea dini yeye hajaisoma kabisa!.
Nieleze wewe dini umeisomea wapi na kwa kiwango gani, Je kiwango chako ni Rawdhwa, Ibtidaaiy, Ii'daadiy, Thaanawiy au Jaamiah, Maajisteer au Douktouraah?
Eleza tafadhali wewe umeisomea wapi na elimu yako ni kiwango gani?!
Al Imaami Al shaafiy katika maneno yake alisema:
"ما جادلت جاهلا إلا غلبني وما جادلت عالما إلا غلبته'"
Naomba tafsiri ya maneno hayo ili nijue nazungumza na mtu wa kiwango gani!
Wewe dini umesomea wapi?Ni wapi Quran imesema kuwa lazima mwezi uonekane kwenye nchi yako ndio ufunge?!
Halafu bila simu,TV na radio wafuasi wa bakwata waliopo huko Kibondo vijijini mkoani Kigoma watapataje taarifa ya mufti wao aliyepo Dar Salam kuwajulisha kuwa mwezi umeandama au haujaandama?!
Ikiwa inaruhusiwa kwa muislamu wa huko wilayani Ngara mkoani Kagera kupokea taarifa za mwezi toka Dar es salaam Tanzania kupitia simu,tv na radio kuna ubaya gani Mimi mtu wa Dar es salaam kutumia simu,tv na radio kupokea taarifa toka kwa ndugu zetu waislamu waliopo pande mbalimbali za dunia?!
Mnaikwepa jumapili? Siku zote ni MunguHiyo inaweza kuwa ya Suni kiongozi. Siye wengine tunaombea iwe jumatatu na jumanne
Anasimamia mambo ambayo hayapo katika dini. Imam Suyutwi anasema "hii dini ni elimu, na hii elimu ndiyo dini yenyewe".Usiseme pande mbali mbali za dunia sema Nchi za Kiarabu.
Toka lini taarifa ikapokewa kutoka marekani ama Thailand?
Wanatuchanganya hawa. Wengine jumapili wengine jumatatu wengine wanasema sijui waarabu wanawahi kwa sababu wanafuata mwezi wa kimataifa, unabaki kushangaa kwamba kuna mwezi wa kitaifa na mwezi wa kimataifaIla waislamu wana kazi na hii EID, mara wengine ni kesho, wengine keshokutwa, wengine mtondogoo.
Full tafrani. Eid yaleta kizaa zaa. 😂😂😂😂
Mbona umejitetea sana mkuu, kwani kuna mtu amekutisha?Wewe huna ujualo ! Dini yako huijui halafu unajitia kukosoa dini za wengine?!
Mimi ni mwalimu wa dini ya kiislamu.
Na hadi kuwa Mwalimu usidhani nimesoma dini ya kiislamu tu!, nimesoma pia uyahudi, unaswara ( ukristu ) ubudha, uhindu na dini nyingine ambazo kwa hapa Tanzania hata hazijawa na hata mfuasi mmoja!
Zipo huko mashariki ya mbali!.
Isitoshe mimi mama yangu Allaah amrehemu alizaliwa kwenye ukristo na alhamdu lillaah amefia kwenye uislamu.
Wajomba zangu hadi leo bado ni wakristo na pia ninaishi mkoa wa Kilimanjaro ambao ni Moja ya mikoa yenye wakristo wengi hapa Tanzania.
Na Mimi huwa napatannafasi za kujadiliana na baadhi ya viongozi wa makanisa mbalimbali kwahiyo Mimi ukristo ninaujua vizuri zaidi ya unavyofikria.
Huenda pia nimikwambia kuwa BIBLIA YA KANISA KATOLIKI IMETAFAUTIANA NA BIBLIA YA MAKANISA MENGINE KWA VITABU SITA pia ukanibishia kwakuwa wewe ni mkristo jina ambaye huna muda wa kufuatilia mambo ya dini yako.
Ni mwaka gani ambao mwezi uliandamaItakuwa changamoto za kisiasa
Kilichopo ni kwamba America na Thailand , Japani au Indonezia hawajawahi tangaza kuona mwezi kabla ya nchi za kiarabu kama unavyosema.Usiseme pande mbali mbali za dunia sema Nchi za Kiarabu.
Toka lini taarifa ikapokewa kutoka marekani ama Thailand?
Kwani huko kwenu Kuna krismas ya kitaifa na krismas ya kimataifa?!Wanatuchanganya hawa. Wengine jumapili wengine jumatatu wengine wanasema sijui waarabu wanawahi kwa sababu wanafuata mwezi wa kimataifa, unabaki kushangaa kwamba kuna mwezi wa kitaifa na mwezi wa kimataifa
Kwani kuna mwaka waislamu waliopo Thailand na Amerika walitoa taarifa ya kuonekana mwezi tukaikataa?!Usiseme pande mbali mbali za dunia sema Nchi za Kiarabu.
Toka lini taarifa ikapokewa kutoka marekani ama Thailand?
Umejibu maswali niliyouliza ?!Wewe dini umesomea wapi?
Mbona unapotosha?
.الحديث صحيح غير صريح."Sikuwahi kubishana na mjinga ila alinishinda, na sikuwahi kubishana na mjuzi ila nikamshinda."
--------------
Sahih Muslim (Kitabu cha Swawm, Hadithi Na. 1087).
Maelezo ya Hadithi
Kuraib anasimulia:
"Nilitumwa na Ummu Fadhw’l binti Al-Harith kwenda kwa Mu’awiyah (aliyekuwa katika mji wa Shaam). Nilipomaliza kazi yangu huko, nilikuwa Shaam, na nikaona mwezi wa Ramadhan siku ya Ijumaa jioni. Kisha nikarudi Madina mwishoni mwa mwezi. Ibn Abbas akaniuliza: 'Je, mliona lini mwezi wa Ramadhan?' Nikajibu: 'Tuliona siku ya Ijumaa jioni.' Akaniuliza: 'Je, Mu’awiyah na watu wa Shaam walifunga siku hiyo?' Nikasema: 'Ndio.'
Ibn Abbas akasema: 'Lakini sisi tuliuona siku ya Jumamosi, kwa hiyo hatutaacha kufunga hadi tutakapomaliza siku 30 au tuuone mwezi mpya.'
Kuraib akasema: 'Je, haitoshi kwenu mwandamo wa mwezi huko Shaam na kufuata siku za kufunga za Mu’awiyah?'
Ibn Abbas akajibu: 'Hapana. Hivi ndivyo alivyotuamrisha Mtume ﷺ.'"
Unaielewaje hii Hadithi, unaifafanuaje?