Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,295
Hilo swali angeulizwa mufti wa bakwata inakuwaje yeye kila mwaka anakuwa wa mwisho kuona mwezi?!Inakuwaje kila mwaka wao wanakuwa wa kwanza kuona mwezi kulinganisha na sisi?
Mwezi nimeusikia kwa kupata taarifa kutoka sehemu mbali mbali kuwa umeonekana , ndo maana nafunga ,kwa kuonekana mwezi na kufungua kwa kuonekana mwezi.Fungueni kwa kuonekana mwezi, kama mwezi haujaonekana katika nchi yako, wewe taarifa ya kuonekana mwezi umeitoa wapi, Quran inasema tumieni redio/darubini/TV kusikia habari ya kuonekana mwezi?
Allaah akuongoze uyachukie madhambi au akupe maradhi mabaya ya ngono ( adhabu ya duniani ) yatakayokuonyesha ubaya wa dhambi ya uzinifu.Nina demu kaninyima kisa Ramadhani.
Ngoja nimtumie ya Abaya na kukumbushia ahadi yetu.
Eid Mubarak.
Elimu kubwa iko wapi mpaka hapo.Mwezi nimeusikia kwa kupata taarifa kutoka sehemu mbali mbali kuwa umeonekana , ndo maana nafunga ,kwa kuonekana mwezi na kufungua kwa kuonekana mwezi.
Maimam wanne wa kiislam wataalam wa fiqhi(sheria za kiislam) ambao ni
1.Imam Abu Hanifa., 2. Imam Malik 3. Imam Shafi na 4. Iman Ahmad bin Hanbal wamezungumzia mambo haya.
Maimam watatu walifata msimamo wa kufunga na kufungua mwezi utakapoonekana popote duniani, na Iman mmoja ambae ni Imam shafi akafata msimamo wa kufunga na kufungua kwa kuona mwezi kwenye mji wake.
Hao ndiyo maimam wenye elimu kubwa katika uislam katika kutafsiri sheria za kiislam, kwahiyo mimi nimefata hoja yenye nguvu inayoungwa mkono na maimam watatu lakini sipingi Hoja ya Imam Shafi kwahiyo kama wewe umeshikilia hoja ya kufungua kwa kuona mwezi kwenye mji wako uko sahihi pia.
Hizo ni khitilafu na kila mtu ana hoja zake.
Sidhan kama wamewahi,hii ni kwakuwa wao walianza na wanafuata mwezi wa kimataifaWanawahi wapi??
Hujatoa hoja hata moja,ebu toa hoja tujadiliane maana naona umehadithia story tuUngekuja kupangua hoja moja moja nione nina haja ya kujielimisha.
Mwezi ni mmoja hakuna miezi miwili. Nyie fata mkumbo ambap mmekariri kwa kuambia hamtaki kusoma ndo shida inapokuja.
Ukweli upo Asilimia 95 ya wasomi wa dini ya kislam elimu ya Sayansi au dunia ni sifuri
Wenyewe hatuna kazi hata kidogo,tunajua kwanini wao wako mlengo ule na sisi mlengo huu,nyie msiojua ndio mnapata shidaIla waislamu wana kazi na hii EID, mara wengine ni kesho, wengine keshokutwa, wengine mtondogoo.
Full tafrani. Eid yaleta kizaa zaa. 😂😂😂😂
Shida mnayo nyie, huko kutofautiana kwa Eid,Wenyewe hatuna kazi hata kidogo,tunajua kwanini wao wako mlengo ule na sisi mlengo huu,nyie msiojua ndio mnapata shida
Unajua kuwa wakristo wa Madhehebu ya kisabato hawana sikukuu ya pasaka wala krismas pamoja na wale wa kanisa la efatha ministry pia hawaoni kuwa pasaka na krismasi ni sikukuu za kikristo?!Ila waislamu wana kazi na hii EID, mara wengine ni kesho, wengine keshokutwa, wengine mtondogoo.
Full tafrani. Eid yaleta kizaa zaa. 😂😂😂😂
Sijaelewa swali lako uliza swali lililonyookaElimu kubwa iko wapi mpaka hapo.
Bora hao wasiokua nayo, kuliko hawa walionayo na bado wanatofautiana ktk kuadhimisha hiyo siku.Unajua kuwa wakristo wa Madhehebu ya kisabato hawana sikukuu ya pasaka wala krismas pamoja na wale wa kanisa la efatha ministry pia hawaoni kuwa pasaka na krismasi ni sikukuu za kikristo?!
Nawe pia nikutakie Eid yenye baraka.
Ila hii dini bhana 😂 kwahy Waislamu wa sunni wameuona mwezi ila Waislamu wengine hawajauona 😂Kwa mujibu wa Sunni Mwezi umeonekana Qatar, UAE na Saudii Arabia.. Tanzania na nchi nyingine hakuna sehemu umeonekana probably Eid itakua j3
Au EID KIGEUGEUBora hao wasiokua nayo, kuliko hawa walionayo na bado wanatofautiana ktk kuadhimisha hiyo siku.
Eid yaleta mvurugano, hii inabidi iitwe "EID KIVURUGE"
😂😂😂😂
Kwetu sisi waislamu kutofautiana kwa baadhi ya mambo ni rehma na wala sio shar hata kidogoShida mnayo nyie, huko kutofautiana kwa Eid,
Had mwenzi uonekane, je km siku 30 zimepita na hauonekani, inakuaje hapo? Lol
Mm kuna demu n Kristo ila amefunga Kiislamu ananiambia atanipa K baada ya Ramadhan, afadhali hii siku ipite nikaichakaze mbunye yake tuuNina demu kaninyima kisa Ramadhani.
Ngoja nimtumie ya Abaya na kukumbushia ahadi yetu.
Eid Mubarak.