Ehud Barak amwambia Netanyahu. Nenda asema muda si rafiki tena kwa Israel kubaki kwenye tope la Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,191
10,925
Waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Baraka amemwambia waziri mkuu wa sasa,Bejamin Netanyahu kuwa kwa jina la Mungu aondoke madarakani.

Ehud Barak amesema kwa kuendelea kuwepo madarakani kwa Benjamin Netanyahu basi Israel itaendelea kuzama kwenye tope la Gaza. Akahimiza wakati wa kuondoka ni sasa.

Kama alivyosema mmoja ya wajumbe wa baraza la vita hapo juzi,Gadi kwamba kusidhinda Hamas si jambo rahisi.Ehud Baraka naye amesema Israel ina uchaguzi wa ama kuzama kwenye tope kwa kutaka kuishinda Hamas au kusitisha vita na kuokoa mateka.

Kutilia nguvu hoja zake akihojiana na Telegraph, Ehud amekumbusha kuwa muda wa siku 100 wa vita tayari umeshavuka muda wa kawaida katika historia kwa Israel kuendelea na vita.

Kauli hizi za washirika wa Netanyahu zimekuja huku wanafamilia wa mateka wakiendelea kuvamia nyumba ya Netanyahu na bunge la nchi hiyo kiasi cha kuvuruga vikao huku wakidai kuokolewa kwa ndugu zao.

‘In the name of God, go’, ex-PM tells Netanyahu

 
Netanyahu ndio Israel na Israel ndio Netanyahu. Maandamano yalivyozidi kwa mara ya kwanza Israel, utitiri wa kesi na kashfa katengeneza false flag operation sasa hivi yuko zake Gaza wananchi wametulia wanamsapoti sasa. Hatoki tena hapo, Baba wa siasa Israel
 
Netanyahu ndio Israel na Israel ndio Netanyahu. Maandamano yalivyozidi kwa mara ya kwanza Israel, utitiri wa kesi na kashfa katengeneza false flag operation sasa hivi yuko zake Gaza wananchi wametulia wanamsapoti sasa. Hatoki tena hapo, Baba wa siasa Israel
Kutoka ni suala la muda tuuuu
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Baraka amemwambia waziri mkuu wa sasa,Bejamin Netanyahu kuwa kwa jina la Mungu aondoke madarakani.

Ehud Barak amesema kwa kuendelea kuwepo madarakani kwa Benjamin Netanyahu basi Israel itaendelea kuzama kwenye tope la Gaza. Akahimiza wakati wa kuondoka ni sasa.

Kama alivyosema mmoja ya wajumbe wa baraza la vita hapo juzi,Gadi kwamba kusidhinda Hamas si jambo rahisi.Ehud Baraka naye amesema Israel ina uchaguzi wa ama kuzama kwenye tope kwa kutaka kuishinda Hamas au kusitisha vita na kuokoa mateka.

Kutilia nguvu hoja zake akihojiana na Telegraph, Ehud amekumbusha kuwa muda wa siku 100 wa vita tayari umeshavuka muda wa kawaida katika historia kwa Israel kuendelea na vita.

Kauli hizi za washirika wa Netanyahu zimekuja huku wanafamilia wa mateka wakiendelea kuvamia nyumba ya Netanyahu na bunge la nchi hiyo kiasi cha kuvuruga vikao huku wakidai kuokolewa kwa ndugu zao.

‘In the name of God, go’, ex-PM tells Netanyahu

Naona wafia dini mnaomba netanyahuu aondoke madarakani maana yule bwana hacheki na kima ni operation upanga wa chuma unaendelea magaidi mnaona moto
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Baraka amemwambia waziri mkuu wa sasa,Bejamin Netanyahu kuwa kwa jina la Mungu aondoke madarakani.

Ehud Barak amesema kwa kuendelea kuwepo madarakani kwa Benjamin Netanyahu basi Israel itaendelea kuzama kwenye tope la Gaza. Akahimiza wakati wa kuondoka ni sasa.

Kama alivyosema mmoja ya wajumbe wa baraza la vita hapo juzi,Gadi kwamba kusidhinda Hamas si jambo rahisi.Ehud Baraka naye amesema Israel ina uchaguzi wa ama kuzama kwenye tope kwa kutaka kuishinda Hamas au kusitisha vita na kuokoa mateka.

Kutilia nguvu hoja zake akihojiana na Telegraph, Ehud amekumbusha kuwa muda wa siku 100 wa vita tayari umeshavuka muda wa kawaida katika historia kwa Israel kuendelea na vita.

Kauli hizi za washirika wa Netanyahu zimekuja huku wanafamilia wa mateka wakiendelea kuvamia nyumba ya Netanyahu na bunge la nchi hiyo kiasi cha kuvuruga vikao huku wakidai kuokolewa kwa ndugu zao.

‘In the name of God, go’, ex-PM tells Netanyahu

Ukitaka habari za Israel na viongozi wake wote kuanzia waliostaafu na walio kazini wewe usiangaike watafute waislamu tu kimsboy, alwaz, faizafox, green rajab, nk kweli Israel ni kiboko cha magaidi🤣🤣🤣🤣
 
Naona wafia dini mnaomba netanyahuu aondoke madarakani maana yule bwana hacheki na kima ni operation upanga wa chuma unaendelea magaidi mnaona moto
Sasa makamanda walioko vitani wanasema hamas hawawezekaniki alafu ww unatuletea habari za Netanyau aliyeko Tell aviv amejificha kwenye nyumba iliyo jaa maandaki ww jamaa uko siliasi kweli?
Na sio kuondoka tu hata jera ataenda na ndio maana anangangania kuendelea na vita ambavyo amesha shindwa.
Na ndio maana anajaribu kurefusha vita ili kuongeza siku za kutoenda jera maana kilicho muweka madaraka mpaka sasa ni vita inayo endelea,
 
Wako viongozi wazuri waliwahi kupita Israel kama Yitzhak Rabin! Huyu ndiye alitaka kumaliza mgogoro wa ardhi kati ya Palestina na Israel akiwa serious! Rabin alianzishia makubaliano ya OSLO na mwenzie wa Palestina Yasir Arafat ya kumaliza mgogoro wao kwa kuunda nchi mbili.
kwa bahati mbaya kabla hajamaliza alichokianzisha Wazayuni wakamuua kwa risasi, alietekeleza mauaji hayo ni kijana wa kiyahudi tena mwanafunzi wa chuo kikuu hapohapo Israel mwaka 1995 kwa sababu alikuwa hakubaliani na makubaliano akiyoyafanya Rabin kwa kugawana maeneo rasmi na Palestina.
Yitzhak Rabin alizaliwa Jerusalem mwaka 1922 kipindi hicho Jerusalem ilikiwa chini ya Palestina na Mtawala ni Muingereza.
Ukitaka habari za Israel na viongozi wake wote kuanzia waliostaafu na walio kazini wewe usiangaike watafute waislamu tu kimsboy, alwaz, faizafox, green rajab, nk kweli Israel ni kiboko cha magaidi🤣🤣🤣🤣
 
Ata asipoondoka hii ngoma hamas anaimaliza kibabe mteka wote watafyekwa na ardhi hachukui
 
Back
Top Bottom