Netanyahu na Rais Biden hawasemezani kwa muda mrefu sasa. Sababu ni vita vya Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.

Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.

Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.

Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.

Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.

Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.

Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.

Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
 
Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.

Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.

Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.

Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita,
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.

Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.

Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.

Bullshit
 
Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.

Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.

Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.

Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita,
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.

Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.

Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
endelea kujifurahisha Israel sio Afrika , huku Afrika mnaua waafrika sijui wamewafanyia nini au nao wemewapora ardhi , hii dini ni ya shetan maana bila kumwaga damu haijisikii amani

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kinachompa kiburi Netanyahu ni Tanzania, Hata US akiisusa Israel Tanzania ipo na tupo vizuri , nani hafahamu zile ndege zetu za kijeshi huwa zinapita uwanjani siku za uhuru, vifaru vyetu n.k.

Hata Navy Seal hana uwezo kuvunja tofali kwa kichwa, ogopaah! wajidanganye.
"Ogopaah wajidanganyee" Nimecheka sana. Wacha ni declare interest mimi ni msukuma.
 
Kutofautiana viongozi hakumaanishi nchi hazishirikiani, hata ndani ya nchi na serikali Kuna viongozi wanaweza easier na msimamo mmoja.
 
Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.

Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.

Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.

Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.

Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.

Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.

Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.

Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
Kama ulikuwa unadhani Muddy na Mwamedi ni watu wawili tofauti pole Sana.

Israel ipo kwenye katiba ya Marekani.
 
Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.

Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.

Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.

Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.

Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.

Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.

Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.

Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
Wabongo aisee

Uzushi, drama na Ushabiki
 
endelea kujifurahisha Israel sio Afrika , huku Afrika mnaua waafrika sijui wamewafanyia nini au nao wemewapora ardhi , hii dini ni ya shetan maana bila kumwaga damu haijisikii amani

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app


Kweli kabisa israeli sio Afrika kwani ina wanajeshi waliobadishwa uume wao na kubandikwa papuchi

papuchi idf.jpeg
 
Kila post yako lazima uongelee ushoga alafu hata israel hawakujui yaani unachofanya ni kuku kumlaani mwewe
Wewe utakuwa ni mtoto si riziki , hivi utaupendaje ushoga,
Hizo picha nilipiga Mimi ???? Kama umekasirika , Waombe Hao wayahudi unaowapenda wakubandike papuchi, labda Hasira zako zitatulia 😝😝😝😝
 
Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.

Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.

Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.

Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.

Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.

Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.

Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.

Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
Hii habari ni tamu sana lakini imekosa ladha haina chanzo, natamani kusikia habari kama hizi ili Wazayuni wadhalilike zaidi na zaidi
 
Back
Top Bottom