Corrie de killer
Senior Member
- Oct 5, 2019
- 180
- 548
Nani yupo nianze nae
Kwema mkuuMamaster kwema
Kumbeee Razorblade wewe kuku wa maziwa leo ulichonifanyia😂😂Utafika umechelewa za kukabia ni mbili japo inabidi uwe chap kwenye vidole ni Match up na Dash kwa kukaba nafasi lakini, na hapo inabidi umsome mpinzani wako anacheza mpira gani mfano kama anapenda kupitia kulia we akishika mpira kabia kulia na ukiona amechange ameanza pitia kushoto na wewe usilale kama Anko T chap rudi kushoto japo yeye pia itamtesa maana keshakua na mazoea ya kupitia kulia
Kwema mkuu, za uzima?Kwema bibie.
Razor huyoooAlhamdulillah.
Unapotea sana mkuu.
Corrie ulikuwa umefumba macho😂
Ongeza na Razorblade katibu wao😂
We ndo utanipanga sasa kakaKaka mida ganii ila saiv niko bizy kdg niko na mitest kibao wiki hii
😃Shida sio training shida results zipo wapKwani kwenda training ni kosa? Au wewe huendi training kujifunza vipya?
Jiandae na tisa mkuuHusumbui wewe 😂
Mbona siwaelewi nyie nani alishindaMechi zote hazijaisha napiga screenshot ya nini? We kula win zako hapo.
Mimi hapa😃😃 anafata KandambiliUserious gani unataka mkuu? Kwani kuna mtu anapenda kufungwa?
Khalas 😂🙌
Jiandae na tisa mkuu
Walrd ana watu wake 😃😃😀😀 hadi ww AI kakufunga n htr