Warld
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,294
- 3,469
Umeona sombrero ile ukasababisha penat kuepuka fedhehaUmeninyanyasa na nini we fala 😂
Umeona sombrero ile ukasababisha penat kuepuka fedhehaUmeninyanyasa na nini we fala 😂
Haujawahi onesha ushindani ndiyo maana nacheza mizahaUserious gani unataka mkuu? Kwani kuna mtu anapenda kufungwa?
Khalas 😂🙌
Hakuna hiyo kitu, hili ni game na daily unakutana na opponent mwenye uchezaji tofauti na wako, huwezi sema hujifunzi kitu.Mi ukweli sina training
Nani huyo😀😀 hadi ww AI kakufunga n htr
Uliipigia mbali hata haikuwa karibu na mchezaji wangu, penati nimesababisha kipuuzi.Umeona sombrero ile ukasababisha penat kuepuka fedheha
Sina net ya kuonyesha huo ushindani, kuna utofauti kati ya mechi za sasahivi na za kipindi cha nyuma.Haujawahi onesha ushindani ndiyo maana nacheza mizaha
Training ni kwenda kupractise iwe na AI ama qm ila mimi muda mwingi ni division na friend match za kutoana jasho.Hakuna hiyo kitu, hili ni game na daily unakutana na opponent mwenye uchezaji tofauti na wako, huwezi sema hujifunzi kitu.
Jaribu kucompete hata kama huna net , maana mimi sina net ila nacompete net ikikataa ndiyo basiSina net ya kuonyesha huo ushindani, kuna utofauti kati ya mechi za sasahivi na za kipindi cha nyuma.
Na sipati hiyo gametime ya kucompete na wengi humu ndiyomaana nacheza for fun.
League au friend match?Lete code tumalize mkuu
Ww unacheza Kama zile AI 😀Nani huyo
Mkuu hata AI zimeshindwa kunicopy.Ww unacheza Kama zile AI 😀
Basi mimi sijamaanisha training ya kwenda kucheza na AI, nimekusudia general.Training ni kwenda kupractise iwe na AI ama qm ila mimi muda mwingi ni division na friend match za kutoana jasho.
Ligi.League au friend match?
Hahah kuna siku ntakuonesha pira mtafute-mtafute ( ushawahi kubiwa pressure na match up kwa pamoja 😂😂Basi mimi sijamaanisha training ya kwenda kucheza na AI, nimekusudia general.
League ntakufind badae bhc kakaLigi.
😂😂😂Mkuu hata AI zimeshindwa kunicopy.
Ushaweka levels before kwahiyo usitegemee nitaweza compete na wewe kwa hali niliyokua nayo mkuu, net yako mbovu kutokana na eneo uliyopo kwa sasa.Jaribu kucompete hata kama huna net , maana mimi sina net ila nacompete net ikikataa ndiyo basi
Vyovyote vile 😂Hahah kuna siku ntakuonesha pira mtafute-mtafute ( ushawahi kubiwa pressure na match up kwa pamoja 😂😂
PoaLeague ntakufind badae bhc kaka