Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,967
- 31,201
Kwema mishe vipKwema wakuu
Kwema mishe vipKwema wakuu
Mida tuguse mastaPoapoa mkuu"
Hiyo dash nipo nayo training nikishindwa naiacha.Wewe unajisahau ukiwa unashambulia na hiyo dash ndiyo kabisa
🤣🤣🤣🤣 Kijana kashinda"mimi bado kibonde
Usiamini hayo matokeo ni scam.WTF🤣🤣
Huoni umenibonda game zote tena ulivombad comeback ya maana kabisaKwahiyo unakaza kwangu tuu
Dash naona inafanya poa kwenye kukimbizana ila mtu akiwa anatoa mojamoja ni uselessHiyo dash nipo nayo training nikishindwa naiacha.
Naona anamtafuta Gerrad maana mnacheza game mbili mbioo😅
Ndo nataka niwe najua kuswitch kulingana na maeneo.Dash naona inafanya poa kwenye kukimbizana ila mtu akiwa anatoa mojamoja ni useless
Utafika umechelewa za kukabia ni mbili japo inabidi uwe chap kwenye vidole ni Match up na Dash kwa kukaba nafasi lakini, na hapo inabidi umsome mpinzani wako anacheza mpira gani mfano kama anapenda kupitia kulia we akishika mpira kabia kulia na ukiona amechange ameanza pitia kushoto na wewe usilale kama Anko T chap rudi kushoto japo yeye pia itamtesa maana keshakua na mazoea ya kupitia kuliaHiyo dash nipo nayo training nikishindwa naiac
Pesa itapita, game littabakiAagh mkuu nitulie hasa
Mkuu acha kuponza watu😅Pesa itapita, game littabaki
🤣🤣🤣🤣Naona anamtafuta Gerrad maana mnacheza game mbili mbioo😅
Nimekustukia mkuu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Natafuta coiins mkuuNimekustukia mkuu
Tunaishi mara 1, yanini kujipa sonona!Mkuu acha kuponza watu😅
Intelligent Businessman 🤪Tunaishi mara 1, yanini kujipa sonona!
toka asubui niko na uncharted
Emoji hizo vipi tena kamanda?, arghhh kaza kijanaIntelligent Businessman 🤪
Leta Code nikukaze mjmb TEmoji hizo vipi tena kamanda?, arghhh kaza kijan
Ko we ndio mjomba t?, dah mi nacheza pc and ps tu so kama unayo weka id chap.Leta Code nikukaze mjmb T