😂😂 sasa siku zote 3 kaniendea upande mmoja..Una balaa hapo Razorblade
Anakosa kila siku penalty itabid umfundishe upigaji😅😅
huyu kipa yupo automated...
Kwa siku mbili anakua anaruka upande mmoja ambao ukipiga huko anadaka then anaenda upande mwingine au anabaki kati kati...
Kwahiyo inabid uwe unakumbuka jana aliluka wap unapiga hesabu vzr😃😃😃
Na wewe mkere achanganyikiweHuyo fala akishadaka penalty siku 2 mfululizo siku ya tatu unachanginyikiwa wewe, anakera sana 😂
Aah kumbe ushaajua kumsoma😃😃😂😂 sasa siku zote 3 kaniendea upande mmoja..
Razorblade anakosa sababu anamuendea na viwembe kwenye username 😂😂😂kipa anamkomeshaa
Kuna Harry Kane na Bukaya Saka wananinyoosha tu 😀😀😀Sasa training uliyoenda ni ngumu kdg nenda hii kwanza then ukiona umeweza utaenda ya pili
Anz na hii kwanza
Nenda kwenye Academy
Chagua training View attachment 3590392
Ukitoka hapo chagua Dream team
Ukitoa hapo chagua Free training siyo ya Commanding ambayo umeenda
Then after anza na Attacking practice hapo utakuwa uwanja mzima mwenyewe cheza na wachezaji wako jaribu kupigiana pass ukiona umeweza kuelewa namna ya kuzitumia button lud nyuma chagua practicing match ujaribu kucheza na Opponent uone kama utatoboa
View attachment 3590393View attachment 3590394
Mwambie kabisa kipa akijnyanyua mikono yote miwili apige katikati na asiponyanyua mikono apige pembeniUna balaa hapo Razorblade
Anakosa kila siku penalty itabid umfundishe upigaji😅😅
huyu kipa yupo automated...
Kwa siku mbili anakua anaruka upande mmoja ambao ukipiga huko anadaka then anaenda upande mwingine au anabaki kati kati...
Kwahiyo inabid uwe unakumbuka jana aliluka wap unapiga hesabu vzr😃😃😃
We mtu kasema unamkimbia inabidi umuoneshe kuwa ulikuwa unamhurumia.Ukaona uanze na yeye 😂
Kuna sehemu nilikuelekeza ukabaji... Itabid ulud ukapitie tena😃😃Kuna Harry Kane na Bukaya Saka wananinyoosha tu 😀😀😀
Mkuu nielekeze kukabia dashKuna sehemu nilikuelekeza ukabaji... Itabid ulud ukapitie tena😃😃
😂😂Shem kama shem nimeteseka sana na ndugu yangu yani tunaingia kwenye mechi akili yote ipo kwako.
Sababu ya kuwa wa mwisho chanzo ni yeye mwenyewe 😂😂😂
DepalUkiweka setting hivi...
Ngoja nikuoneshe namna ambavyo zitatokea kwenye mechi
..
Mpangilio wa Button umegawanyika sehemu mbili kuna ambazo hutokea wakati umeshika mpira na kuna nyingine hutokea wakati team pinzani imeshika mpira
Wakati ukiwa na mpira button zako za uchezaji huwa ni hivi
View attachment 3589947
Kushoton Joystick kwa ajili ya kuchagua uelekeo wa mchezaji pamoja na pass na mashuti ukitaka yaelekee upande gani utumia hiyi...
Then kulia kuna dash hii inatumika kumfanya mchezaji akimbie
Then pass inatumika kwa ajili ya kupiga short passes ambazo jnafika mguuni kwa mchezaji alafu through inatuumika kupiga pass ndefu zile za kutanguliza mbele
Kwenye setting za ukabaji zipo hiviView attachment 3589951
Ukishapoteza mpira kwenye kugana tunategema Button mbili
Ambazo ni Match up na Dash and pressure
Ukikana kwa kutumia match up lazima utumie na direction yan wewe unachagua mchezaji aende wap kuzuia njia au pass kwahiyo lazima umdirect
Lakn ukitumi dash and pressure unashika tuu bila direction hiyo (joystick) mchezaji anafata mpira mwenyewe...
Hapo sasa ngoja nikuelekeze kwenda training uende kujaribu namna ya kucheza na hizo button
Watu mna trick mbona sijawai iona hii😅😅🤔Mwambie kabisa kipa akijnyanyua mikono yote miwili apige katikati na asiponyanyua mikono apige pembeni
Ndo umpige nane😅😅Wema huna hata kidogoWe mtu kasema unamkimbia inabidi umuoneshe kuwa ulikuwa unamhurumia.
Unanichota hapa😅😅me kukabia dash wap na wap😃😃😃Mkuu nielekeze kukabia dash
Ndiyo umeona sasaWatu mna trick mbona sijawai iona hii😅😅🤔
Apo 10 zilikuwa zinafata ni vile alianza kupoteza muda ubaya game ya kwanza alishinda 😂😂Ndo umpige nane😅😅Wema huna hata kidogo
Yani hata dash sijawahi kutumia toka nianze gameUnanichota hapa😅😅me kukabia dash wap na wap😃😃😃
Kwa Beginner inabid azoee hiyo kwanza then ndo aje match up
Ulianza na match up moja kwa mojaYani hata dash sijawahi kutumia toka nianze game
Me nakalili upande tuuNdiyo umeona sasa