eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Aah hiyo notification achana nayo 😃😃


Nilikupa zile setting umeweka??


Alafu pia dogo si yupo atakuongezea ufundi siku ukienda😃au humtaki
Kurudi alipo dogo ni mpaka Dec 😀
Sikukuu zimeisha sahv

Setting za mchana nilimaliza
Sahv nmestuck kwenye hizo button.. kwani huwezi kumslaidisha na screen ya cm mpk utumie button?
 
Ya button ndo huwa rahisi.... Ya kuslide tuu simu ni ngumu sana


Utazoea tuu
Nimestuck hapo kwenye tutorial ya mwisho
IMG_1935.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom