eFootball Special Thread

eFootball Special Thread


Nakuambiaa shem kaka ako anani care na kuni handle siku hizi hadi naogopaa!! Nataka nimtoe hukoo.
Nifurahie ndoa yangu mie atii,
Wewe furahia penzi hilo shem, we mwenyewe unaelewa navyokupambania 😂

Ila huku usimtoe, kwaajili yako tutajitahidi ligi inayofata tusiwe wa mwisho 😂🙌
 
Sasa training uliyoenda ni ngumu kdg nenda hii kwanza then ukiona umeweza utaenda ya pili

Anz na hii kwanza

Nenda kwenye Academy

Chagua training View attachment 3590392

Ukitoka hapo chagua Dream team


Ukitoa hapo chagua Free training siyo ya Commanding ambayo umeenda

Then after anza na Attacking practice hapo utakuwa uwanja mzima mwenyewe cheza na wachezaji wako jaribu kupigiana pass ukiona umeweza kuelewa namna ya kuzitumia button lud nyuma chagua practicing match ujaribu kucheza na Opponent uone kama utatoboa

View attachment 3590393View attachment 3590394
TOD 🙌
 
Sasa training uliyoenda ni ngumu kdg nenda hii kwanza then ukiona umeweza utaenda ya pili

Anz na hii kwanza

Nenda kwenye Academy

Chagua training View attachment 3590392

Ukitoka hapo chagua Dream team


Ukitoa hapo chagua Free training siyo ya Commanding ambayo umeenda

Then after anza na Attacking practice hapo utakuwa uwanja mzima mwenyewe cheza na wachezaji wako jaribu kupigiana pass ukiona umeweza kuelewa namna ya kuzitumia button lud nyuma chagua practicing match ujaribu kucheza na Opponent uone kama utatoboa

View attachment 3590393View attachment 3590394
Ngoja nijaribu upyaaa
 
Selikavu daily game ni lazima upate ile pernalty? Au mimi tu nina mashuti makali sikosi 😀
Una balaa hapo Razorblade
Anakosa kila siku penalty itabid umfundishe upigaji😅😅
huyu kipa yupo automated...

Kwa siku mbili anakua anaruka upande mmoja ambao ukipiga huko anadaka then anaenda upande mwingine au anabaki kati kati...


Kwahiyo inabid uwe unakumbuka jana aliluka wap unapiga hesabu vzr😃😃😃
 
Una balaa hapo Razorblade
Anakosa kila siku penalty itabid umfundishe upigaji😅😅
huyu kipa yupo automated...

Kwa siku mbili anakua anaruka upande mmoja ambao ukipiga huko anadaka then anaenda upande mwingine au anabaki kati kati...


Kwahiyo inabid uwe unakumbuka jana aliluka wap unapiga hesabu vzr😃😃😃
Kaka huyo kipa akiwa na stress humfungi 😂😂😂
 
Utakaa na nani wa kukuvumilia wewe unazurula tu uwanjani? 😂😂😂

WHY ALWAYS ME? Sisi ndo tunaelewana hapa ngadu kwa ngadu 😂🙌
Aseeee😃
51c536d4-f9b6-4652-b9ee-3eb00800c094.webp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom