Ukiweka setting hivi...
Ngoja nikuoneshe namna ambavyo zitatokea kwenye mechi
..
Mpangilio wa Button umegawanyika sehemu mbili kuna ambazo hutokea wakati umeshika mpira na kuna nyingine hutokea wakati team pinzani imeshika mpira
Wakati ukiwa na mpira button zako za uchezaji huwa ni hivi
Kushoton Joystick kwa ajili ya kuchagua uelekeo wa mchezaji pamoja na pass na mashuti ukitaka yaelekee upande gani utumia hiyi...
Then kulia kuna dash hii inatumika kumfanya mchezaji akimbie
Then pass inatumika kwa ajili ya kupiga short passes ambazo jnafika mguuni kwa mchezaji alafu through inatuumika kupiga pass ndefu zile za kutanguliza mbele
Kwenye setting za ukabaji zipo hivi
Ukishapoteza mpira kwenye kugana tunategema Button mbili
Ambazo ni Match up na Dash and pressure
Ukikana kwa kutumia match up lazima utumie na direction yan wewe unachagua mchezaji aende wap kuzuia njia au pass kwahiyo lazima umdirect
Lakn ukitumi dash and pressure unashika tuu bila direction hiyo (joystick) mchezaji anafata mpira mwenyewe...
Hapo sasa ngoja nikuelekeze kwenda training uende kujaribu namna ya kucheza na hizo button