eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Tuanze na Setting kwanza...

Ukiwa hapo kwenye Home screen ya Efootball utabonyeza Extras (Inaanza Home then Shop then Academy then Extras)
Screenshot_20260517-124617.png

Itakuja hivi

Chagua game setting...
Screenshot_20260517-124623.png

Then itakuja hivi

Chagua play setting
Screenshot_20260517-124628.png


Then utaweka Setting zako hivi
Screenshot_20260517-124647.png


Depal
 
Ukiweka setting hivi...

Ngoja nikuoneshe namna ambavyo zitatokea kwenye mechi
..

Mpangilio wa Button umegawanyika sehemu mbili kuna ambazo hutokea wakati umeshika mpira na kuna nyingine hutokea wakati team pinzani imeshika mpira


Wakati ukiwa na mpira button zako za uchezaji huwa ni hivi

Screenshot_20260517-131314.png


Kushoton Joystick kwa ajili ya kuchagua uelekeo wa mchezaji pamoja na pass na mashuti ukitaka yaelekee upande gani utumia hiyi...

Then kulia kuna dash hii inatumika kumfanya mchezaji akimbie

Then pass inatumika kwa ajili ya kupiga short passes ambazo jnafika mguuni kwa mchezaji alafu through inatuumika kupiga pass ndefu zile za kutanguliza mbele


Kwenye setting za ukabaji zipo hivi
Screenshot_20260517-131325.png


Ukishapoteza mpira kwenye kugana tunategema Button mbili

Ambazo ni Match up na Dash and pressure


Ukikana kwa kutumia match up lazima utumie na direction yan wewe unachagua mchezaji aende wap kuzuia njia au pass kwahiyo lazima umdirect
Lakn ukitumi dash and pressure unashika tuu bila direction hiyo (joystick) mchezaji anafata mpira mwenyewe...


Hapo sasa ngoja nikuelekeze kwenda training uende kujaribu namna ya kucheza na hizo button
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom