Kaka mimi nazungumzia uwepesi wa kufanya transition hapo.Huo mfumo ujue unakuwa na wakabaji wangapi??
Haram football tuwe wengiDuh aisee😅
Hii banner kali sana mkuu....sema naona naenda kukuangusha 🤣🤣Ikifika saa tano tafuta popcorn zako njoo ukae hapa usubili vilio😂😂😂View attachment 3465486
Na mngojee nimpate huyo Capello sema namkosa Guardiola tuu😃😃😃Akibituq juu torres anabaki peke yake na kipa😅
Transition zipo tuu kikubwa usikose nafasi😂😂Kaka mimi nazungumzia uwepesi wa kufanya transition hapo.
Wewe nenda kacheze pira huko la gusa achia twende kwao😂😂Hii banner kali sana mkuu....sema naona naenda kukuangusha 🤣🤣
Aliyemwambia acheze back 5 amefanya dhambi kubwa sana 😂Negan ndo master wa huo mchezo humu ndani😂😂😂
Picha linaanza anacheza Back 5
😂🙌Transition zipo tuu kikubwa usikose nafasi😂😂
Unanichota ili nijae mkuu...badae nitatulia sana nipate walau point 1Master kandambili unanisumbuaga sana na zile pass zako😅
😅😂jamaa kaacha ku dribbleNegan ndo master wa huo mchezo humu ndani😂😂😂
Picha linaanza anacheza Back 5
Ndo mfumo wako originally kabisa yan😂😂😂Aliyemwambia acheze back 5 amefanya dhambi kubwa sana 😂
Ukikaba Neymar ndo anahamia kwenye dribble 😃😃😃😅😂jamaa kaacha ku dribble
Unaona sasa umeniongezea kitu shukrani sana mkuu, mpaka 2:30 usiku nilikua najifua tuu kwa ajili yenu.Nilikuwa nataka nikutafute tangu jana ila bahati nzuri nikapitiwa na usingizi 😂
Amorim playstyle yake ni Out Wide na siyo Possession, nenda uweke vizuri kwenye playstyle.
Bonyeza picha yake halafu angalia Playstyle yake itakuwa na rate ya 89 kisha bonyeza palipoandikwa Team Playstyle utaona machaguo ya kubadilisha na utaweka Out Wide.
View attachment 3465290
On paper ni back 5 (523) Lakini uwanjani Formation ni sawa na nilikua natumia msimu uliopita 3133 sababu Carlos na Belleti muda wote wapo kwenye winga ya mpinzani 😅Aliyemwambia acheze back 5 amefanya dhambi kubwa sana 😂
Tupande kesho mida ya saa 5 nikamkabe Vieri😅