Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nilikutumia invite, kwa ulivyoweka hivyo ningekupasua 😂😂😂Unaona sasa umeniongezea kitu shukrani sana mkuu, mpaka 2:30 usiku nilikua najifua tuu kwa ajili yenu.
Nilikutumia invite, kwa ulivyoweka hivyo ningekupasua 😂😂😂Unaona sasa umeniongezea kitu shukrani sana mkuu, mpaka 2:30 usiku nilikua najifua tuu kwa ajili yenu.
Mkuu kwa sasa sikuwezi kivyovyote.Nilikutumia invite, kwa ulivyoweka hivyo ningekupasua 😂😂😂
Hapana mie noob mkuu.Mkuu kwa sasa sikuwezi kivyovyote.
Kaka ukitaka kujifunza cheza na mimi kibonde mwenzio ,Mkuu kwa sasa sikuwezi kivyovyote.
Mkuu naona unatumia mbinu zote kunivuta ili nijae kwenye mfumo.Hapana mie noob mkuu.
Ili baadae uscreenshot matokeo upost humu sio hahaKaka ukitaka kujifunza cheza na mimi kibonde mwenzio ,
Utazoea tuu we endelea kucheza😃Ila wakuu kutumia match up kukaba ni kazi sana kwasababu unapoachia dash tuu mchezaji anasimama na adui anatumia mda huo kupita kama upepo nimejaribu kuitumia kama mlivyoelekeza jana kuigusa pale adui anapokukaribia then unagusa dash haraka aisee, didn't work for me.
😂usi sikilize hao yataishia uko ukoIli baadae uscreenshot matokeo upost humu sio haha
Ndiyomaana tunakwambia uwe unacheza friend match, sasa wewe unacheza mwenyewe tu kukujenga utachelewa.Ila wakuu kutumia match up kukaba ni kazi sana kwasababu unapoachia dash tuu mchezaji anasimama na adui anatumia mda huo kupita kama upepo nimejaribu kuitumia kama mlivyoelekeza jana kuigusa pale adui anapokukaribia then unagusa dash haraka aisee, didn't work for me.
Poa nitakuchekNdiyomaana tunakwambia uwe unacheza friend match, sasa wewe unacheza mwenyewe tu kukujenga utachelewa.
Na jambo la ziada ni kwamba tutakupost tu ili ikuume na kukukomaza 😂😂😂
Ewaah! Ukinifunga njoo na matokeo unaweka hapa, nikikufunga nakupost ila sitokusema 😂Poa nitakuchek
Hagombaniwi hata sisi tunajifunza kwa vipigo, unahisi kwa vipigo anavyonipa NEGAN siku nitakayomfunga atakaa kwa amani humu? 😂😂😂Mnavomgombania mgeni sasa😃😃mnataka mmnyooshe kabla hajawa master Kandambili 😃😃
Uachr kumwambia aongeze speed. Yupo slow sio wewe kaka huwez acha kumsema😃😃Ewaah! Ukinifunga njoo na matokeo unaweka hapa, nikikufunga nakupost ila sitokusema 😂
Niliyemsema hivyo akanijia kwa fujo na smart assist, nimekoma 😂😂😂Uachr kumwambia aongeze speed. Yupo slow sio wewe kaka huwez acha kumsema😃😃
Na umenyooshwa kwel kwel😃😃😃Niliyemsema hivyo akanijia kwa fujo na smart assist, nimekoma 😂😂😂