eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ukicheza outwide na wacheza kama wewe utapasuka sana. Wachezaji wanatanua sana through ball 1 mtu anakutana na kipa.
Amna saiv mbona napiga adi back pass 😃😃😃ngoja week ijayo nifikishe hiyo 750 nichukue Haram football Manager 😂😂😂

Na nahamia LB msije kusema sikusema😃😃😃
 
Back
Top Bottom