Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 1,107
- 2,922
Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingerezaThen sub zao Vier kwa batgoal,, Torres kwa doue na Hazard kwa Raphinha
Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingerezaThen sub zao Vier kwa batgoal,, Torres kwa doue na Hazard kwa Raphinha
Hazard ni wamoto mno kwenye hiyo position ukimtrainMtrain😃😃 yeye na hazard
Sikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia 😂😂😂 hadi nme mkumbuka drogba wa Razorblade ndo zake izo kukimbia nyuma ya beki zangu ,
Hakuna marefu yasiyo na ncha ..Sikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia 😂
Hawashauri kutumia CF wenye playstyle 1 sababu ya muingiliano, unaweza mpa mmoja counter target ili mwengine awe anafanya runs akiwa free.Ume ona niki tumia CF goal porches wawili mmoja lazima apotee Selikavu
Labda kwenye magemu sio real football 😂😂😂alafu kama unafuatilia natoa opinio kutokana na mchezo wangu ulivyo ndo maana napishana na Razorblade kila siku😂😂😂Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingereza
😂😂kaota kitambiSikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia 😂
Hapo inabidi umuelekeze mtu ili aweze kuzuia na kushambulia, yeye amesema anagungwa sana halafu wewe unamuelekeza kushambulia tu.Ngija nichukue kocha wa LB uone😃😃
Yeah hii issue nilkua naona ,nka jaribu na hallad fox in the box na bat goal ,goal poacher mbele kukawa ni fujo tu 😂😂Hawashauri kutumia CF wenye playstyle 1 sababu ya muingiliano, unaweza mpa mmoja counter target ili mwengine awe anafanya runs akiwa free.
Ukiendelea hivi naenda kumjaza speed hata akishuka mpaka 100 namuweka kikosini 😂😂😂Hakuna marefu yasiyo na ncha ..
Jaman amke amken
Wameachana bhana😂😂😂
Mtu na strker la uzito Wa GB mbili 😂😂😂
Kikubwa mnoo, na vile card yake ilivyokaa ni kama vile ananiambia nimuhurumie acheze hata kidogo 😂😂😂kaota kitambi
Huo mfumo ujue unakuwa na wakabaji wangapi??Hapo inabidi umuelekeze mtu ili aweze kuzuia na kushambulia, yeye amesema anagungwa sana halafu wewe unamuelekeza kushambulia tu.
Mpunguze na kilo basi afike hata 80😂😂Ukiendelea hivi naenda kumjaza speed hata akishuka mpaka 100 namuweka kikosini 😂😂😂
Unamfundisha mwenzako kucheza haram Football 😅silivester mpe instructions ya defensive 😃😃😃moja inayobaki mpe makelele😃😃
Duh aisee😅Pia Rodri mpe Deepline 😃😃 ukipata mpira na Pedri we piga through ya nguvu mbele kama una smart assist hilo ni goli hakuna wa kumkamata Batistuta akiondoka😃😃😃
NEGAN kaanza lini kucheza haramu football 😅Ikifika saa tano tafuta popcorn zako njoo ukae hapa usubili vilio😂😂😂View attachment 3465486
Sasa si kasema anafungwa sana😂😂Unamfundisha mwenzako kucheza haram Football 😅