Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Cheza jion kuanzia saa nane hivi mpk saa 12😃😃Noted.. sema konami wananiletea watu wa rate ya 3190 na kuendelea
Cheza jion kuanzia saa nane hivi mpk saa 12😃😃Noted.. sema konami wananiletea watu wa rate ya 3190 na kuendelea
Pia Rodri mpe Deepline 😃😃 ukipata mpira na Pedri we piga through ya nguvu mbele kama una smart assist hilo ni goli hakuna wa kumkamata Batistuta akiondoka😃😃😃Hazard bado sija muongeza SS position natumaini Nakata atajaribu.
Na kama ungekuwa na mtu kama Guardiola nje mweke maana ana lofted pass kubwa😂😂😂mweke hapo kwa pedri... Akishika mpira Tuu jaza through mbele wai kufunga hiyo ndo link up play sasa😃😃😃jana nimetestiwa na mwanangu mmoja aseee mchezo mbaya sana huoPia Rodri mpe Deepline 😃😃 ukipata mpira na Pedri we piga through ya nguvu mbele kama una smart assist hilo ni goli hakuna wa kumkamata Batistuta akiondoka😃😃😃
Messi naona kama ngumu kumtumia....karibu hazard kwenye SS mkuu anabalaa lake....au mo Salah kama unaeBatistuta, mbape na messi ni combo nzuri nikiwawek pale mbele wote
Haram tactician naona unatoa hoja hapa mtuangamizeNa kama ungekuwa na mtu kama Guardiola nje mweke maana ana lofted pass kubwa😂😂😂mweke hapo kwa pedri... Akishika mpira Tuu jaza through mbele wai kufunga hiyo ndo link up play sasa😃😃😃jana nimetestiwa na mwanangu mmoja aseee mchezo mbaya sana huo
alafu wachache sana wa rate ya juu wanakichafua....wengi wanauwezo wa kawaida....wamenunua coin au kununua vikosi....naonaga Hawa wa 120-170 wa moto mbaya hawa watuCheza jion kuanzia saa nane hivi mpk saa 12😃😃
Eeh kila mtu amapate Isco 😂😂Haram tactician naona unatoa hoja hapa mtuangamize
😂😂 hadi nme mkumbuka drogba wa Razorblade ndo zake izo kukimbia nyuma ya beki zangu ,Mtajua wenyewe 😂😂😂me anafunga tuuView attachment 3465436
Nikamkabe huyo badaeMtajua wenyewe 😂😂😂me anafunga tuuView attachment 3465436
Me Torres anatokea nyuma😃😃na anakupita hapo hapo😂😂 hadi nme mkumbuka drogba wa Razorblade ndo zake izo kukimbia nyuma ya beki zangu ,
Hukomsirudi tena....nmefika dvn 2 vs AI naona inanitosha sana...Eeh kila mtu amapate Isco 😂😂
Hauna Adv striker? Hiyo play style n ya moto mno aiseh kama tumecheza wote basi umeona osimhein wangu wa free alivyo na connecting abilityUme ona niki tumia CF goal porches wawili mmoja lazima apotee Selikavu
Amna mmoja mpe counter target mmoja mwache na free runs ila hizo through ziwe kwa yule mwenye counter target ndo ana chance kubwa ya kupita na akafunga😃😃Ume ona niki tumia CF goal porches wawili mmoja lazima apotee Selikavu
Ni kawaida kabisa😃😃kikosi kinampa kiburi😃alafu wachache sana wa rate ya juu wanakichafua....wengi wanauwezo wa kawaida....wamenunua coin au kununua vikosi....naonaga Hawa wa 120-170 wa moto mbaya hawa watu
Sawaa hakuna nenoNikamkabe huyo badae
Una rank ya ngapi make sure upo ndani ya million moja tuuHukomsirudi tena....nmefika dvn 2 vs AI naona inanitosha sana...