eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Inakaba njia na kublock mpira mpinzani anapopiga shuti ikiwa mchezaji wako yupo eneo sahihi.
Sasa nitajuaje mchezaji wa timu pinzani anataka kupiga shuti ili ni press button ya match up?

Maana shuti ni kitendo cha robo sekunde tu limeshapigwa bila wewe kujua.

Au nikihisi tu mchezaji wa timu pinzani anaweza kuanchia shuti then nianze ku deal na button ya match up?
 
Sasa nitajuaje mchezaji wa timu pinzani anataka kupiga shuti ili ni press button ya match up?

Maana shuti ni kitendo cha robo sekunde tu limeshapigwa bila wewe kujua.

Au nikihisi tu mchezaji wa timu pinzani anaweza kuanchia shuti then nianze ku deal na button ya match up?
Bila shaka issue kubwa hapa ni namna ya kukaba.

Hii update ya sasa inakuhitaji wewe binafsi kwenye kuzuia bila msaada wa AI, ukitumia match up unakuwa unablock njia au shuti.

Ukiwa unaenda kukaba shika match up kisha opponent akisogea karibu achia kisha wahi dash, hii itakuwezesha kupora mpira.

Opponent akiwa kwenye eneo lako na unahisi kabisa anajiandaa kupiga basi usiachie match ila hakikisha unafata movements zake kabla hajapiga.
 
😅😅 kazi ya kocha martnez iko mashakani
Screenshot_20250904_142226_eFootball.jpg
 
Bila shaka issue kubwa hapa ni namna ya kukaba.

Hii update ya sasa inakuhitaji wewe binafsi kwenye kuzuia bila msaada wa AI, ukitumia match up unakuwa unablock njia au shuti.

Ukiwa unaenda kukaba shika match up kisha opponent akisogea karibu achia kisha wahi dash, hii itakuwezesha kupora mpira.

Opponent akiwa kwenye eneo lako na unahisi kabisa anajiandaa kupiga basi usiachie match ila hakikisha unafata movements zake kabla hajapiga.
Wakati huo ninaposhikilia match up button nishike na button ya Dash kwa pamoja ama?

Maana huwa natumia Dash kukaba na kupoea mipira ama huwa nakosea mkuu?
 
Wakati huo ninaposhikilia match up button nishike na button ya Dash kwa pamoja ama?

Maana huwa natumia Dash kukaba na kupoea mipira ama huwa nakosea mkuu?
Hapana haushiki kwa pamoja, unashika match halafu akiwa karibu unaachia match up unashika dash.

Unashika dash peke yake na inafanya kazi ya kukaba vizuri?
 
Iv treasure link ile ya chance deal bado ipo au imetoka???


Mlioangalia kwenye game???


Tumsaidie mwamba apate hizo chance deals kwanza😃😃kama 80 hivi akipiga pale akapata zake hata epic watatu unyama 😃
 
Wakuu hapa nahisi kuelemewa na dunia, Game langu limefutika na nimeshindwa kurudisha account yangu niliyokuwa natumia mwanzo yaani nimeanza upya, dadeq
Fungua account nyingine mkuu tutakuelekeza namna ya kulink kabisa😃

Then utanitafuta hapa jukwaani niende kukupa treasure link ya chance deals ili ujaribu bahati yako pale kwenye Epic
 
Iv treasure link ile ya chance deal bado ipo au imetoka???


Mlioangalia kwenye game???


Tumsaidie mwamba apate hizo chance deals kwanza😃😃kama 80 hivi akipiga pale akapata zake hata epic watatu unyama 😃
Unabet mwenzio apate epic watatu wakati wewe uliambulia upepo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom