Taliyah ertex
Member
- Feb 17, 2024
- 18
- 23
Shida halina offline🤒🤒Umeona mkuu.
Alafu mtu anakuja anasema dls ndo hatari ety🤣🤣
Shida halina offline🤒🤒Umeona mkuu.
Alafu mtu anakuja anasema dls ndo hatari ety🤣🤣
Halitumii bundle jingi hataShida halina offline🤒🤒
Kingine game zote sio pes ,dls wameshindwa kabisa kuweka code ambazo mchezaji akishika ndani ya 18 iwe penalty auakishika mchezaji iwe faulo? Niulizie kwa konamiHalitumii bundle jingi hata
Kazi iendelee 😂Negan alianza kupigia nje mzee 😃😃ilikuwa kazi leo alafu akawa anazivuta😃😃
Khalas.Wivu in jay kombat voice
Naweza toa code halafu nikaanza kukosa 😂Hatari na nusu 😂😂 afu wadau mki piga penalty mtuambie kipa kafata wapi , haiwezekan penalty nikose kila siku na nyie mpo
Sipendi kubahatisha kabisa, yeye aruke atakavyo ila kila siku napiga katikati tu 😂😂😂Hapana haruki upande mmoja... Kwa kila mtu
Sema inabid uwe unakariri kama jana aliruka upande fulani kesho kuna possiblity akaludia huo upande tena
Baada ya kuruka sehemu mara mbili itakayofata piga alikokua anaruka wakati unaangalia either karuka au kabaki kati kati...zikiisha mbili tena piga alipokuwa karuka😃😃
Sawa 😂Maneno ya mkosaji 😂
Ni suala la muda tu, game la simu haliwezi kuwa na uhalisia %100.Kingine game zote sio pes ,dls wameshindwa kabisa kuweka code ambazo mchezaji akishika ndani ya 18 iwe penalty auakishika mchezaji iwe faulo? Niulizie kwa konami
Na ajabu ni kwamba kwenye eFootball mchezaji akiwa anazuia ndani ya box anafunga mikono nyuma, mkuu njia rahisi ya kupata penalty wewe ingia kwenye box mtu akuchape tu halafu injury uwe umeweka on 😂😂😂Kingine game zote sio pes ,dls wameshindwa kabisa kuweka code ambazo mchezaji akishika ndani ya 18 iwe penalty auakishika mchezaji iwe faulo? Niulizie kwa konami
Sawa swala la offdide mbona wameweka 100% na hadi vivuli wameweka wameshindwa vipi kushika mpira ok sawa kwanini wameweka mabeki huwa wanaweka mikono nyuma kuogopa kushika ndani ya box?Ni suala la muda tu, game la simu haliwezi kuwa na uhalisia %100.
Kuna hatua zikifika unaona kabisa tunaweza linunua kwa pesa, bora vingine visiwepo maana haya ni makatuni tu.Ni suala la muda tu, game la simu haliwezi kuwa na uhalisia %100.
Sio kama wameshindwa kuweka hapana ila wanaongeza vitu kidogo kidogo kila msimu ili kuongeza msisimko kwa fanbase ya E football mobile hiyo ni marketing strategy tu..Sawa swala la offdide mbona wameweka 100% na hadi vivuli wameweka wameshindwa vipi kushika mpira ok sawa kwanini wameweka mabeki huwa wanaweka mikono nyuma kuogopa kushika ndani ya box?
Kusubiri kuna raha na karaha 😂Sio kama wameshindwa kuweka hapana ila wanaongeza vitu kidogo kidogo kila msimu ili kuongeza msisimko kwa fanbase ya E football mobile hiyo ni marketing strategy tu..
Wakisema waweke vitu vyote kwa pamoja basi watu wengine watakua bored mapema na kuacha kucheza game
Mwaka jana wamemuongeza refa na automated offside. Mwaka huu wameongeza link up play na ku edit uwanjaKusubiri kuna raha na karaha 😂
Sema huyu refa nae wampumzishe aisee kila mechi ni yeye tu, mechi zingine awe mshika kibendera 😂Mwaka jana wamemuongeza refa na automated offside. Mwaka huu wameongeza link up play na ku edit uwanja
Angekuwa na LBC 89 na QC 89 ingekuwa unyama sana.Nimeingia YouTube hapa kuna YouTuber anajiita Liars Fc akawa anasema leo wanaleta Fabio Capello kocha wa link up play
Kwenda kuangalia playstyle yake jamaa ana 89 LBC na 89 Long ball🤣🤣🤣
YouTuber akasema this is totally Haram ball🤣🤣🤣
Hakuna hicho huku wachezaji hawashiki😃Kingine game zote sio pes ,dls wameshindwa kabisa kuweka code ambazo mchezaji akishika ndani ya 18 iwe penalty auakishika mchezaji iwe faulo? Niulizie kwa konami