eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Najiulia kwa nini opponent wangu hakukimbiq baada ya goli la 4 nadhani ni ego
Na ndo kilichomponza, huenda aliamini atapindua meza.

Sehemu ambayo siwezi kukimbia ni kwenye friend match tu ambapo nakuwa naangalia makosa yangu yanakuwa wapi ila huko kwenye dvn au events nikishaona napoteza kwa idadi kubwa ya magoli naachana na hiyo mechi.

Yanini kupoteza muda wakati tayari nishapoteza na kuna mechi zingine za kucheza.
 
Boom 💥 division 3 nimeingia kibabe divison 3 nimempelekea mtu pumzi ya moto😃
ILIVYOKUA HABARI PICHA
Zingatia dakika za magoli😃
View attachment 3310970View attachment 3310971View attachment 3310972View attachment 3310973
View attachment 3310974View attachment 3310975
Dakika ya 60 nikampiga goli la 7. Baada ya goli la saba akaona isiwe kesi 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️
View attachment 3310976

Matokeo
View attachment 3310987


View attachment 3310977

Team yake
View attachment 3310978

View attachment 3310979

Nipumzike sasa divison ntaendelea tarehe 1
View attachment 3310980
😅ngoja na mimi nicheze nipo 6 saiv baada ya ku update
 
Boom 💥 division 3 nimeingia kibabe divison 3 nimempelekea mtu pumzi ya moto😃
ILIVYOKUA HABARI PICHA
Zingatia dakika za magoli😃
View attachment 3310970View attachment 3310971View attachment 3310972View attachment 3310973
View attachment 3310974View attachment 3310975
Dakika ya 60 nikampiga goli la 7. Baada ya goli la saba akaona isiwe kesi 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️
View attachment 3310976

Matokeo
View attachment 3310987


View attachment 3310977

Team yake
View attachment 3310978

View attachment 3310979

Nipumzike sasa divison ntaendelea tarehe 1
View attachment 3310980
Hongera Mkuu😃😃
 
Na ndo kilichomponza, huenda aliamini atapindua meza.

Sehemu ambayo siwezi kukimbia ni kwenye friend match tu ambapo nakuwa naangalia makosa yangu yanakuwa wapi ila huko kwenye dvn au events nikishaona napoteza kwa idadi kubwa ya magoli naachana na hiyo mechi.

Yanini kupoteza muda wakati tayari nishapoteza na kuna mechi zingine za kucheza.
Mimi hata nifungwe ngapi sikimbii mechi naona ni sehemu ya kujifunza😃😃
 
Baada ya kubakia kwenye division 4 mara mbili na point zangu 14 leo nimepanda


Nakala imfikie Razorblade 😃😃😃😃

Screenshot_20250421-161742.png
 
NEGAN naomba kuhairisha mechi mpaka nitakapomalizana na konami, hawa leo wameyatimba.

Selikavu kama kawaida yako kunipa moto ukanifanya nitengue kauli yangu ya kucheza dvn baada ya tarehe 27 😂.

Nilibakiza points 9 kupanda dvn 3 wakati huo bado mechi 5, mechi 2 za kwanza zote nimepoteza sababu ya simu kupigwa katika mechi zote 2 na iliyoniuma zaidi ni ambayo nilikuwa tayari naongoza halafu simu ikapigwa.

Mechi 3 zilizobaki 2 nikashinda ila moja ya mwisho ndo wakaamua kunipiga script yaani 1v1 na kipa zinapanguliwa nyingine zinakula nguzo na mbaya zaidi eti unalenga goli halafu mpira unatoka nje.

Kwa ufupi tu hawa konami hawakutaka niende dvn 3 ila wameyakanyaga.
 
NEGAN naomba kuhairisha mechi mpaka nitakapomalizana na konami, hawa leo wameyatimba.

Selikavu kama kawaida yako kunipa moto ukanifanya nitengue kauli yangu ya kucheza dvn baada ya tarehe 27 😂.

Nilibakiza points 9 kupanda dvn 3 wakati huo bado mechi 5, mechi 2 za kwanza zote nimepoteza sababu ya simu kupigwa katika mechi zote 2 na iliyoniuma zaidi ni ambayo nilikuwa tayari naongoza halafu simu ikapigwa.

Mechi 3 zilizobaki 2 nikashinda ila moja ya mwisho ndo wakaamua kunipiga script yaani 1v1 na kipa zinapanguliwa nyingine zinakula nguzo na mbaya zaidi eti unalenga goli halafu mpira unatoka nje.

Kwa ufupi tu hawa konami hawakutaka niende dvn 3 ila wameyakanyaga.
Malizana kwanza na KONAMI 😃
 
NEGAN naomba kuhairisha mechi mpaka nitakapomalizana na konami, hawa leo wameyatimba.

Selikavu kama kawaida yako kunipa moto ukanifanya nitengue kauli yangu ya kucheza dvn baada ya tarehe 27 😂.

Nilibakiza points 9 kupanda dvn 3 wakati huo bado mechi 5, mechi 2 za kwanza zote nimepoteza sababu ya simu kupigwa katika mechi zote 2 na iliyoniuma zaidi ni ambayo nilikuwa tayari naongoza halafu simu ikapigwa.

Mechi 3 zilizobaki 2 nikashinda ila moja ya mwisho ndo wakaamua kunipiga script yaani 1v1 na kipa zinapanguliwa nyingine zinakula nguzo na mbaya zaidi eti unalenga goli halafu mpira unatoka nje.

Kwa ufupi tu hawa konami hawakutaka niende dvn 3 ila wameyakanyaga.
Komaa mkuu komaaa😀😀

Siku ukiona linaenda unakomaa nalo mpaka liishe
 
Back
Top Bottom