Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,968
- 12,435
Sikuwasha mkuu ila nahisi kuna muda mpinzani akishambulia sana inajiwasha yenyewe.Game ya pili ulivyokuwa unaongoza tatu uliwasha mojašš nikasema leo kazi ninayo
Me naonaga nikiwasha ndo kama najiweka kwenye risk ya kushambuliwa sana maana ukabaji wangu tia maji