Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nimecheza kama masaa mawili yaliyopita, simu ipumue kwanza 😂.Cheza tu saiv kaka
Nimecheza kama masaa mawili yaliyopita, simu ipumue kwanza 😂.Cheza tu saiv kaka
Simu itapumua nikimuuizia mtu mwingine kwa sasa acha ipige kaziNimecheza kama masaa mawili yaliyopita, simu ipumue kwanza 😂.
Sawa sawaaaBaadae nikitulia nawacheki.
Konami wanakula sana pesa za watu kupitia hili game aisee.Nimecheza mechi kumi za division 4 nimeishia point 14 tena🥹
Sema ukitaka kupanda wanakuletea vikosi....
Ona huyu nimetoka nae moja moja ila clear imefanya kazi mnoView attachment 3310211
Division sasa hivi imejaa maguru subiri mpaka tarehe 1 watakua wamefika Division 1 ndi0 uanze kucheza😃Nimecheza mechi kumi za division 4 nimeishia point 14 tena🥹
Sema ukitaka kupanda wanakuletea vikosi....
Ona huyu nimetoka nae moja moja ila clear imefanya kazi mnoView attachment 3310211
Hicho kikosi sio pow kaka Huyo Rodri nilikuwa namtaka nikachoma mia ikagoma😃😃nikaachaKonami wanakula sana pesa za watu kupitia hili game aisee.
Ngoja nicheze tena wakinishikiria naenda kwenye Ai 😃😃😃Division sasa hivi imejaa maguru subiri mpaka tarehe 1 watakua wamefika Division 1 ndi0 uanze kucheza😃
Division sasa hivi imejaa maguru subiri mpaka tarehe 1 watakua wamefika Division 1 ndi0 uanze kucheza😃
Nitacheza week ijayo imetosha😂😂Division sasa hivi imejaa maguru subiri mpaka tarehe 1 watakua wamefika Division 1 ndi0 uanze kucheza😃
Oya kucheza divison wiki 2 za mwanzo ni suicide mission 😃Nitacheza week ijayo imetosha😂😂
Ona na huyu View attachment 3310291
Huyu aliyekuwa anapiga alikosea namba hana hata madhara😂😂
View attachment 3310293View attachment 3310292
Nimepumzikia dvn 4 kwanza, nimeshinda 2 nimefungwa 2 na sare 1, nahisi nitaendelea kucheza baada ya tarehe 27 😂.Oya kucheza divison wiki 2 za mwanzo ni suicide mission 😃
Nimekutumia invite ghafla ukatokaAliye online tupashe wadau
TwendeNimekutumia invite ghafla ukatoka