eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Kwamba bila hela hukipati hicho
Wananua coin hao ili upate mchezaji kwa uhakika kwenye box la 150/150 inabidi uwe na atleast coin 10000. Ona bei yenyewe ya coin sasa😃. Angalia bei ya coin sasa 😃
Screenshot_20250420_122440_eFootball.jpg
 
Mimi ile afu mbili inaniuma adi leo😂
Ilibaki kidogo nijichanganye ila nikajiuliza maswali sana, mimi ndo nachezesha haya makatuni kama sijui sijui tu hata niwe na kikosi kikubwa kiasi gani, niliachana na huo mpango baada ya kuona unaweza kutana na mtu kikosi kina 2000+ na ukapigiwa mpira huo mpaka unatamani kuforteit mechi 😂.
 
Back
Top Bottom