Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,155
- 10,396
Harakati za pimbi 😂Edo kissy nimepokea simu kutoka kwa promoter wa mapambano humu JF Mr. Selikavu , nasikia unataka leo pambano liwe live Azam Sports 2 HD saa 4 kamili usiku...
Napenda kuutaarifu umma nitakuwepo na nitahakikisha mashabiki zangu wanafurahi 📌
Nenda training kwanzia muda huu umepewa muda mwingi sana wa kujiandaa mkuu, mimi ndo nimeshtukizwa ila nitaingia uwanjani 😂
NEGAN Mill broh , Razorblade na wengine wengi humu, mjitokeze 😂😎
#KIWAKE. 😎