Mill broh
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 346
- 816
Hahaha jana nimeshenyentwa game mfululizo, Game ya mwisho ndio ilikuwa ya kunirudisha division 2 nilipigwa comeback nikaquit game ndio sijafungua mpaka leo na sina nguvu ya kufungua😅Kuna huyo mimi phase iliyopita nilifika mpaka 1949 nilifungwa kama game 6 mfululizo nikarudi 1800, konami hizo rank zina watu wao bana 😂😂💔