eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Edo kissy nimepokea simu kutoka kwa promoter wa mapambano humu JF Mr. Selikavu , nasikia unataka leo pambano liwe live Azam Sports 2 HD saa 4 kamili usiku...

Napenda kuutaarifu umma nitakuwepo na nitahakikisha mashabiki zangu wanafurahi 📌

Nenda training kwanzia muda huu umepewa muda mwingi sana wa kujiandaa mkuu, mimi ndo nimeshtukizwa ila nitaingia uwanjani 😂

NEGAN Mill broh , Razorblade na wengine wengi humu, mjitokeze 😂😎

#KIWAKE. 😎
 
Edo kissy nimepokea simu kutoka kwa promoter wa mapambano humu JF Mr. Selikavu , nasikia unataka leo pambano liwe live Azam Sports 2 HD saa 4 kamili usiku...

Napenda kuutaarifu umma nitakuwepo na nitahakikisha mashabiki zangu wanafurahi 📌

Nenda training kwanzia muda huu umepewa muda mwingi sana wa kujiandaa mkuu, mimi ndo nimeshtukizwa ila nitaingia uwanjani 😂

#KIWAKE. 😎
Dadeq halali Mimi alikimbia watu wanatishia😂🙌
Anyways siendi kutrain nitamchosha Adriano na beki wetu mfupi🤣
 
Una Adriano tena 😂💔 Selikavu nina asilimia 54 mpaka saivi za kupotea hiyo saa 4 😂💔
Kama unataka kuwa Mi mi sawaa
football,soccer,sport,event_1753725034875.png
 
Edo kissy nimepokea simu kutoka kwa promoter wa mapambano humu JF Mr. Selikavu , nasikia unataka leo pambano liwe live Azam Sports 2 HD saa 4 kamili usiku...

Napenda kuutaarifu umma nitakuwepo na nitahakikisha mashabiki zangu wanafurahi 📌

Nenda training kwanzia muda huu umepewa muda mwingi sana wa kujiandaa mkuu, mimi ndo nimeshtukizwa ila nitaingia uwanjani 😂

NEGAN Mill broh , Razorblade na wengine wengi humu, mjitokeze 😂😎

#KIWAKE. 😎
Kiwake🤣🤣🤣
 
Wakiuu kufika division 1 AI kumefanya nipoteze purpose mzuka na game. Sasa hivi sina cha kufanya. Purpose mpya itakua kuifungua defence set up ya @selikavu😀.(joking)

Napiga friendly tu sasa hivi
Sadly nadhan nitakuwa offline kwa muda maana tambo langu limenizingua leo mchana (Storage issues)

Sikupanga kuileta hii news ila nimeona kuna Ulazima

Kama mmeangalia Friends list leo nimetoka...

account yangu nimempa mdogo wangu yeye alipoteza Id yake ya Zaman

Nikilud nitalud na Selikavu ila nadhan sitochukua muda mrefu


Nitakuwepo na Role yangu ya promoter kwa sasa 🔥


Pole zangu za dhati nampelekea Razorblade najua huwezi sikitika hata kdg fresh tuu mwanangu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom