Gilberto_
JF-Expert Member
- Aug 29, 2024
- 904
- 2,514
Futa unaharibu 😂😂😂
Futa unaharibu 😂😂😂
😂😂 yani we kwa mpira wako unajua sijui nikushauri nini hapo kaka 😅Urudi uniambia nazingua wapi na niongeze nini😂
Na nini nikufundishe tena😂🙌
Wahii training ground kaka 😂A wapi hadi aibu kuweka matokeo pasi hazifiki wewe ukigusa tu imoo😅
Ebu niendelee kutrain
Ila mi naona umejaa tu kwenye mfumo we unagusa 😄 afu ulikuja na smart assist, pale ina mpira wake wa tofauti mi siwezi kutambua makosa yako harakaNdio useme nika train kwa kurelax😅
Aisee 😂Picha lilianzia hapa mechi ya kwanza, comeback ya dakika za jiooni..View attachment 3422387kama mnavyoona MOTM alikuwa super destroyer Adams 😂vichwa, Humu tu View attachment 3422389hii mechi ya 2 ndo ilikuwa ya kutoana damu, nipe nikupe 😂 ila mshindi yule yule.. (nakunywa maji)View attachment 3422390baada ya kujihakikishia ushindi wa best of 3 mapema kwenye mechi za mwanzo, nikaona nisiwaangushe mashabiki zangu mkaona kuwa nilikuwa napata ushindi wa bahati bahati, nikaamua kumtulizia mali kijana alikuwa amewasha attacking bar lakini aliizima akawasha defensive bar kupunguza mashambulizi na kasi ya mpira 😂🤞 na hapo kawasha defensive bar hana goli anajitafuta..View attachment 3422393kama kawaida kwenye vyote siwezi kukosa goli la kona kwa mtu ambae ni mgeni kucheza na mimi, humu tu 😂🤞View attachment 3422394
NADHANI MASHABIKI ZANGU MMEFURAHI SASA 😂🙌
CC Edo kissy 🤞.. Promoter wa pambano Selikavu 🫰
NEGAN Razorblade Mill broh
Safi mkuu, tutalipa kisasi 😂Nitakurudia😁, promoter Selikavu toa ratibaa.
Saivi mje mkiwa mmeunganaSafi mkuu, tutalipa kisasi 😂
Hizo kona kaka 🤣🤣🤣me huwa nakaba lakini zinanishindaEbu nika train mkuu😬
Razorblade utaleta timu au unaenda training 🤣🤣🤣Picha lilianzia hapa mechi ya kwanza, comeback ya dakika za jiooni..View attachment 3422387kama mnavyoona MOTM alikuwa super destroyer Adams 😂vichwa, Humu tu View attachment 3422389hii mechi ya 2 ndo ilikuwa ya kutoana damu, nipe nikupe 😂 ila mshindi yule yule.. (nakunywa maji)View attachment 3422390baada ya kujihakikishia ushindi wa best of 3 mapema kwenye mechi za mwanzo, nikaona nisiwaangushe mashabiki zangu mkaona kuwa nilikuwa napata ushindi wa bahati bahati, nikaamua kumtulizia mali kijana alikuwa amewasha attacking bar lakini aliizima akawasha defensive bar kupunguza mashambulizi na kasi ya mpira 😂🤞 na hapo kawasha defensive bar hana goli anajitafuta..View attachment 3422393kama kawaida kwenye vyote siwezi kukosa goli la kona kwa mtu ambae ni mgeni kucheza na mimi, humu tu 😂🤞View attachment 3422394
NADHANI MASHABIKI ZANGU MMEFURAHI SASA 😂🙌
CC Edo kissy 🤞.. Promoter wa pambano Selikavu 🫰
NEGAN Razorblade Mill broh
Amtafute koller acheze beki🤣🤣🤣😂😂 yani we kwa mpira wako unajua sijui nikushauri nini hapo kaka 😅
🤣🤣🤣Na amekuta saiv ni LBC angekuta possession game au QC ni pasi 200+Wahii training ground kaka 😂
Namsubiria alhamisi huyo😅Razorblade utaleta timu au unaenda training 🤣🤣🤣
Ashakimbia huyu🤣🤣🤣Aisee 😂
Kazi njema mkuu.
Nipo kudhihirisha makosa ya Cannavaro 😅Amtafute koller acheze beki🤣🤣🤣View attachment 3422521