Leo nikasema nikaze nipande division... Kwakuwa sina Anchorman mwingine zaid ya Rodri... Nikasema acha nimuweke tuu...
Nikamtrain Guardiola kucheza CMF then nikamuweka Rodri baada ya kukaza vidole siku nzima hatimaye nimpanda division two..
Nb.. mchana wale mapro wanakuwa hawapo😂😂😂ila usiku na Asubuhi muda mwingine nakutana na watu wa 3210 kuendelea huko mtu ana maradona, bale wa 107 anakimbia kama ana mota yan ni kazi kwel kwel
Team niliona nichukue Unique kdg niliona watu humu ndani wana adi Santos😂 na maceltic me nikaona Benifica atanifaa uzi wake naukubali mno
View attachment 3304042