eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nimebadrisha mfumo kutoka 4-2-3-1 kwenda 4-3-1-2(Old Meta).

4-2-3-1, huu mfumo uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa LBC na OW, changamoto niliyokuwa naipata ni striker kutembea eneo kubwa peke yake na kupelekea kutokuwa kwenye eneo husika kwa wakati, ukikutana na mtu anaetumia back 5 unaweza lia.

4-3-1-2(Old Meta), huu mfumo pia uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa QC na PSSN unaweza tumia LBC pia, inakuhitaji kuwa na viungo imara na wepesi maana huu mfumo unahitaji kutawala eneo la kati ili kutengeneza nafasi, changamoto inakuja pale ambapo utakutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kutumia nafasi za pembeni zilizoachwa na viungo wakati unashambulia.

Kwa sasa 4-3-1-2 ndo mfumo ambao naufanyia mazoezi, natunza coins kwaajili ya Xabi Alonso mwenye mfumo wake wakati huo namvizia Kante wa free 😂.

Yani hili game linaweza kukufanya ukahisi tayari umekuwa kocha bado kupata leseni na timu tu 😂.
Efootball haihitaji wingers ni maplaymekers,hole players wawe kwenye wing sides kama, mfumo wa 4222 ndo best formation kwa sasa
Ukiweka stiker mmoja kila muda kawekwa mtu kati😂
 
Efootball haihitaji wingers ni maplaymekers,hole players wawe kwenye wing sides kama, mfumo wa 4222 ndo best formation kwa sasa
Ukiweka stiker mmoja kila muda kawekwa mtu kati😂
Striker 1 nilikuwa nashinda lakini kuna baadhi ya mechi nilikuwa napata tabu sana hasa kwa mtu anaetumia back 5.
 
Wakuu njoeni tutete kwanza huko dvn kumekuwa kugumu kwa upande wangu, niseme tu wengi hawajui kucheza na hawataki kujifunza kucheza 😂, sina maana mbaya ila napata tabu kuwafunga wanaocheza kwa kubutua yaani wakati mimi nataka kuburudika kwa kucheza mpira mzuri na kupata ushindi wao wanaburudika kwa kupata ushindi tu mpira mzuri hawataki 😂.

Mechi 12 nimeshinda 2, sare 2, kufungwa 8, hizo sare 2 nilikutana na pira biriani wenzangu na hizo 2 za ushindi 1 nimekutana na pira biriani mwenzangu ila bahati haikuwa upande wake ila hiyo 1 sasa nikakutana na kanyaga twende namie nikasema kanyaga twende pia nauweza na bahati ikawa upande wangu ila kwa mbinde 😂, hizo nilizofungwa zote nimekutana na wasiojua kucheza.

Vuta picha unakutana na mtu anatumia possession game lakini ukienda uwanjani mwanzo mwisho ni ndege tu.

IMG-20250412-WA0002.jpg

Hii ndo hali yangu huko, nyie ambao mko dvn 1 na 2 nipeni mbinu ya kuwafunga hao jamaa.
 
Wakuu njoeni tutete kwanza huko dvn kumekuwa kugumu kwa upande wangu, niseme tu wengi hawajui kucheza na hawataki kujifunza kucheza 😂, sina maana mbaya ila napata tabu kuwafunga wanaocheza kwa kubutua yaani wakati mimi nataka kuburudika kwa kucheza mpira mzuri na kupata ushindi wao wanaburudika kwa kupata ushindi tu mpira mzuri hawataki 😂.

Mechi 12 nimeshinsa 2, sare 2, kufungwa 8, hizo sare 2 nilikutana na pira biriani wenzangu na hizo 2 za ushindi 1 nimekutana na pira biriani mwenzangu ila bahati haikuwa upande wake ila hiyo 1 sasa nikakutana na kanyaga twende namie nikasema kanyaga twende pia nauweza na bahati ikawa upande wangu ila kwa mbinde 😂, hizo nilizofungwa zote nimekutana na wasiojua kucheza.

Vuta picha unakutana na mtu anatumia possession game lakini ukienda uwanjani mwanzo mwisho ni ndege tu.

View attachment 3301146
Hii ndo hali yangu huko, nyie ambao mko dvn 1 na 2 nipeni mbinu ya kuwafunga hao jamaa.
Nitarudi kukushauri
 
Wakuu njoeni tutete kwanza huko dvn kumekuwa kugumu kwa upande wangu, niseme tu wengi hawajui kucheza na hawataki kujifunza kucheza 😂, sina maana mbaya ila napata tabu kuwafunga wanaocheza kwa kubutua yaani wakati mimi nataka kuburudika kwa kucheza mpira mzuri na kupata ushindi wao wanaburudika kwa kupata ushindi tu mpira mzuri hawataki 😂.

Mechi 12 nimeshinda 2, sare 2, kufungwa 8, hizo sare 2 nilikutana na pira biriani wenzangu na hizo 2 za ushindi 1 nimekutana na pira biriani mwenzangu ila bahati haikuwa upande wake ila hiyo 1 sasa nikakutana na kanyaga twende namie nikasema kanyaga twende pia nauweza na bahati ikawa upande wangu ila kwa mbinde 😂, hizo nilizofungwa zote nimekutana na wasiojua kucheza.

Vuta picha unakutana na mtu anatumia possession game lakini ukienda uwanjani mwanzo mwisho ni ndege tu.

View attachment 3301146
Hii ndo hali yangu huko, nyie ambao mko dvn 1 na 2 nipeni mbinu ya kuwafunga hao jamaa.
Ukijidai kucheza vizuri division kimekulamba. Division mpira kazi tu, mpira mzuri cheza na AI 😀
 
Kuna mshikaji anacheza hili, Ronaldo msimu anafika goli 115
DLS hiyo ndio weakness yake kubwa kwamba ligi ukiwa mzoefu unaona vibonde ndio maana Mimi nimeacha kitambo sana na enjoy online games tu .
 
Back
Top Bottom