eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Leo nikasema niguse guse division 🤣🤣🤣 nikasahau kuwa nitakuwa nacheza na wa div one🤣🤣🤣 uzuri nafungwa lakin nakatwa point chache nikambahatisha na mimi mtu napewa point za kutosha 😃😃🤣🤣


Ila division watu wana sifa mtu anacheza na DMF wanne na wawili kawapa deepline plus anacheza LBC anategemea me nipite wap
Screenshot_20250711-175205.png
 
Nmesahau email so nimepoteza my best squad natafuta anayeuza kikos anicheki
Muuza vikosi Maarufu Tz ni huyu Jamaa Mr Balle +255 747 296 603 mcheki Whatsapp huyo



Humu labda Edo kissy akuuzie account yake moja tupumue🤣🤣🤣pamoja na Gilberto_ na yeye
wana account mbili mbili afu zote kali balaaa😃😃
 
Back
Top Bottom