Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Aje tuu saiv nishajua namna ya kumtoka😃😃Kipara Amrabat amerudi kukichafua na Rodri 😂
Aje tuu saiv nishajua namna ya kumtoka😃😃Kipara Amrabat amerudi kukichafua na Rodri 😂
Mzee wa kauli mbiu😃😃😃Matokeo bila picha ni... 😂
Uzushi😃😃Matokeo bila picha ni... 😂
Hatoishiwa nguvu, utapata mchezaji mwingine bora kuliko yeye. 😂Kwahiyo Pedri wangu kuna siku ataishiwa nguvu 🥺🥺🥺
Hii nzuri kwa sababu na wewe umeliwa coin unyama kabisa😃😃😃NEGAN nimejaribu back 3 ipo vyema kwenye defense maana ukiwa unashambuliwa nimeona inabadirika yenyewe kuwa back 5.
View attachment 3362629
Konami wamekula coins zangu 300 na hawajanipa naemtaka, sikati tamaa mpaka wanipe naemtaka 😂
Semaa Pedri Form kuwa A ni kugusa tuu😃😃Hatoishiwa nguvu, utapata mchezaji mwingine bora kuliko yeye. 😂
Shukran mkuuNgoja tukuadd mkuu
Utakuta yangu Myunani
Umeanza kulicheza lini mkuuShukran mkuu
Back 3 ni ipo balanced na beki za kucheza back 3 pia unazo.NEGAN nimejaribu back 3 ipo vyema kwenye defense maana ukiwa unashambuliwa nimeona inabadirika yenyewe kuwa back 5.
View attachment 3362629
Konami wamekula coins zangu 300 na hawajanipa naemtaka, sikati tamaa mpaka wanipe naemtaka 😂
Full blue iwashwe mapema kabisa ata kabla mechi haijaanza😃😃😃Kaka leo uwe available night, Mambo yalikuwa mengi kidogo japo nilikuwa nagusa
Nilikuwa natumia back 5 week ngapi hizi zilizopita. Aisee huu ni mfumo wa ovyo sana😅Full blue iwashwe mapema kabisa ata kabla mechi haijaanza😃😃😃
Kaka inabidi tukamie kwanza😅Full blue iwashwe mapema kabisa ata kabla mechi haijaanza😃😃😃
Mfumo mkali sana sema Mimi sichez back 5 per se nacheza na kiungo deepline mmoja😃😃😃ili ni balance kukaba ba kushambuliaNilikuwa natumia back 5 week ngapi hizi zilizopita. Aisee huu ni mfumo wa ovyo sana😅
Huyo bila kumkamia hupigi hata shootKaka inabidi tukamie kwanza😅
match 154 goal 8 kheeh😃😃🙌
Sawa mkuu.Kaka leo uwe available night, Mambo yalikuwa mengi kidogo japo nilikuwa nagusa
Labda utoke nje ya uwanja 😂Aje tuu saiv nishajua namna ya kumtoka😃😃
Si ungemuweka reserve tu mkuu 😂