Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
UwakikaNext matches uweke dakika 10 tuenjoy 😂
UwakikaNext matches uweke dakika 10 tuenjoy 😂
Mi mwenyewe niliiona, duh Ungeniua.😂nilkua najarbu settings apo
Hutabiriki wewe😃😃Mbona mi mwenyewe mchache kaka😂.. nipo kwenye form mbaya mno.
Kama kuna kucheza sana ingekuwa kujua game basi ningekuwa nishajua😃😃😅😅uchochoro wote lazima uujue
Kaka kaka unacheza na moto😃😃Nili sahau nimekuja kushtuka game isha anza 😅😅 tukienda match kazaa takuweza
Ubaya ubwela 🤣Afu mechi ya pili ukaniwekea Terrible, nikasema huyu jamaa mbona anataka kunikomoa sijui uliwaza nini ukaenda kubadilisha ukaweka excellent 😄
Leo fainali kakaTuanze leo wakuu
Jana ilikuwa inasoma 68K😃😃😃
Watu wanauchungulia kimyakimya 😂Jana ilikuwa inasoma 68K😃😃😃
Nuno hafaiLamine kakutana na Nuno leo 😂
Unajua card yake ninayo na yupo sub huwa nikimuingiza ananipa presha sana maana kumkuta juu kama winga ni kawaida 😂Nuno hafai
😃😃😃Unavyomchukia Lamine mzee 😃😃ndo kwanza ana miaka 17 mpk afike 30 sijui utakuwa wap🤣🤣Unajua card yake ninayo na yupo sub huwa nikimuingiza ananipa presha sana maana kumkuta juu kama winga ni kawaida 😂
Wafanye kuleta card yake yenye ujazo mkubwa sasa, kitendo cha kumficha Yamal kamdomo amenikosha sana 😂
We jamaa 😂Kaka kaka unacheza na moto😃😃
Afu hapo akili inaniambia ingia hivo hivo utashinda ila angeniua 😄Ubaya ubwela 🤣
Me namwambia ukwel😃We jamaa 😂
Ukweli gani mtu ana card ya Nesta ya zamani mno legend kabisa yule 😄Me namwambia ukwel😃