eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

😂nilkua najarbu settings apo
Mi mwenyewe niliiona, duh Ungeniua.
Screenshot_20250608_203517_eFootball.jpg
 
Unajua card yake ninayo na yupo sub huwa nikimuingiza ananipa presha sana maana kumkuta juu kama winga ni kawaida 😂

Wafanye kuleta card yake yenye ujazo mkubwa sasa, kitendo cha kumficha Yamal kamdomo amenikosha sana 😂
😃😃😃Unavyomchukia Lamine mzee 😃😃ndo kwanza ana miaka 17 mpk afike 30 sijui utakuwa wap🤣🤣
 
Back
Top Bottom