eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

IMG-20250610-WA0022.jpg


Back 3 tamu nyie 😍, anaetumia username ya finestcruise ni nani?

Selikavu nisaidie kumtag mwenye username ya finestcruise.
 
Mkuu nacheza kwa kufuata maelekezo ya humu...

Nmerudi toka page namba 1 nikimaliza narudi uwanjani
Aah okay nitakuwa nakupa pia hapa Updates jitaid kuwa active tuu sawaa mkuu watanisaidia na wakongwe wengine pia me mwenyewe new bie sio sana nina miez minne sasa


Kwa sasa nipe screenshot ya home page yako ya Efootball ukishafungua tu game baada ya messi kutoka ile secreen ya mwanzo kabisa inakuwa na match, gameplan, players contract etc
Itume hapa nikupe maelekezo
 
Huyu nitamfunga muda sio mrefu ngoja nitrain kwanza kikosi
😃😃Una spirit mzee🙌🙌🔥

Nisikukatishe tamaa utamfunga vizuri sanaa😃😃😃


Nimemmtag hapo maan kwa humu me nilipoanza kucheza alinipa instructions nyingi sana na anaendelea kunipa

Nilkuwa namkumbusha kipaji chake vip ameacha mbona kapita kimya kimya hajatoa comment
 
Aah okay nitakuwa nakupa pia hapa Updates jitaid kuwa active tuu sawaa mkuu watanisaidia na wakongwe wengine pia me mwenyewe new bie sio sana nina miez minne sasa


Kwa sasa nipe screenshot ya home page yako ya Efootball ukishafungua tu game baada ya messi kutoka ile secreen ya mwanzo kabisa inakuwa na match, gameplan, players contract etc
Itume hapa nikupe maelekezo
Master Selikavu
 
Huyu jamaa nishamsahau nimejaribu kusearch hiyo message yake haiji kabisa yenye username yake
Kama ataingia ataona, alinitumia invite nikasema acha niingie kibishi kujaribu back 3.

Game ilikuwa inalag kwangu lakini kwa kiasi nimeona kucheza na back 3 iko njema, licha ya lag lakini mechi iliisha 1-2(nimeshinda).
 
Back
Top Bottom